Tatizo sio ada bali ubovu wa mitaala ya elimu yetu

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,516
17,425
Wakuu

Serikali haijatatua tatizo!

Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake!

Je, anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!?

Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA KUTUMIA rasilimali zilizopo?

Hata kama serikali ikilipa gharama za uniforms kama elimu inayotolewa HAINA meno HAINA tu Hata mfanyaje!!!

Bajeti iliyotengwa kulipa ada ingetumika kutengeneza mitaala mipya ya elimu nchini!
 
Serikali ime invest Sana huko, Sasa igeukie walimu, wawakopeshe transport. Nyumba waachane nazo. Kila mwl atakaa kwake.

Walimu ni kada inayodharauliwa Sana, ukifika Kwa Hr, masijala, muhudumu, kila kona wanamuona kama refugee. Waweke package special Kwa ajili yao.

Wairejeshe Ile allowance ya kufundisha, au hata wakiitungia Jina mathalani, extra time duty. Kwa maana watalazimika kukaa kimalezi ku guide Watoto nk, kuwapa skills unayosema mtoa mada, Kwa sababu bila kuwawezesha, usafiri na kadhalika. Hata watoto wakiwekewa tv na ice cream na wazaz baada ya kusamehewa ada,wakapewa na honorary ni bure.
 
Wakuu

Serikali haijatatua tatizo!

Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake!

Je Anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!?

Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA KUTUMIA rasilimali zilizopo!!?

Hata kama serikali ikilipa gharama za uniforms kama elimu inayotolewa HAINA meno HAINA tu Hata mfanyaje!!!

Bajeti iliyotengwa kulipa ada ingetumika kutengeneza mitaala mipya ya elimu nchini!!!
Mitaala ni mizuri sana.
Facilitators ndio sio creative katika ku deliver knowledge.
Serikali ihusike na facilitators kwanza kabla ya kuponda mitaala.
Mfano hawa wanaoenda kusoma elimu ya juu nje ya Tanzania kuna kitu gani cha tofauti wamekuja nacho ambacho kimeleta mabadiliko kwenye taasisi wanazofanyia kazi?
 
Mitaala ni mizuri sana.
Facilitators ndio sio creative katika ku deliver knowledge.
Serikali ihusike na facilitators kwanza kabla ya kuponda mitaala.
Mfano hawa wanaoenda kusoma elimu ya juu nje ya Tanzania kuna kitu gani cha tofauti wamekuja nacho ambacho kimeleta mabadiliko kwenye taasisi wanazofanyia kazi?
Mkuu mitaala lazima ibadilike hao walimu unawaonea tu Kazi ya na mishahara mbalimbali

Mitaala yenyewe inataka wafundishe Mambo yasiyotuhusu Kuna mambo yapunguzwe yanaelemea Sana watoto wetu fikiria wanasoma factors affecting ship building in Japan wkt yupo zake Ushetu sio Sawa,
Mitaala iangaliwe upya halafu hata masomo ikibidi yapungue kuanzia primary abaki na Yale machache anayofanya vzr Sana apande nayo Hadi sekondari, chuo yawepo machache tu ambayo ni lazima

walimu waangaliwe lazima walipwe vzr ili wafanye delivery ya material vzr kwa watoto wetu Tena kwa moyo
Waongeze masomo au topic za biashara, nyingi za entrepreneurship, fedha na stadi za maisha/physical skills Tena waanze wakiwa bado sekondari maana mwisho wa siku Ni kujiajiri tu
 
Ninapata shida sana kuamini kama kweli tuna nia nzuri ya kuleta maendeleo katika nchi hii! Mambo ambayo tunayafanya kwa gharama na lazima yawe endelevu tena kwa ubora - ndio tutayoyaondolea malipo!!

Nilidhani atapendekeza fedha zote zinazolipwa kama ada zibaki wizara ya elimu kuendeleza sekta ya elimu. Zisifanye shughuli zingine.

Swala la kufuta ada za shule haliendani na dhana kuwa shule hizi zina uhaba wa walimu, vitabu, maabara na mitaala isiyomsaidia mwanafunzi kujiajiri. Inapingana na kuwa elimu ina thamani na walezi/wazazi wanapaswa kujinyima na kujitolea ili watoto waipate!!

Sioni maana ya kufuta karo kwa mtoto anayepokea huduma ya serikali moja kwa moja na wakati huo huo kupendekeza kumtoza mtu mwenye kuanzia miaka 18 kodi ya kichwa ambaye hapati huduma ya moja kwa moja ya serikali!!

Kitu kizuri huwa na gharama. Tukitaka elimu yetu iwe na thamani - ni lazima iwe na gharama hata kama ni ndogo!! Katika nchi inayoshindwa kukusanya kodi na ikabaki kukopa, inafutaje karo??
 
Wakuu

Serikali haijatatua tatizo!

Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake!

Je, anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!?

Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA KUTUMIA rasilimali zilizopo?

Hata kama serikali ikilipa gharama za uniforms kama elimu inayotolewa HAINA meno HAINA tu Hata mfanyaje!!!

Bajeti iliyotengwa kulipa ada ingetumika kutengeneza mitaala mipya ya elimu nchini!
Kwani hujui kwamba Serikali ya SSH inapitia mitaala yote na kuanzia mwaka 2023 watoto wataanza kwa kudoma mtaala mpya?

Samia sio mjinga kama wewe na yule aliyetaka wawe wanamuabudu na kujiweka kwenye vitabu vya Historia.
 
Wakuu

Serikali haijatatua tatizo!

Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake!

Je, anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!?

Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA KUTUMIA rasilimali zilizopo?

Hata kama serikali ikilipa gharama za uniforms kama elimu inayotolewa HAINA meno HAINA tu Hata mfanyaje!!!

Bajeti iliyotengwa kulipa ada ingetumika kutengeneza mitaala mipya ya elimu nchini!
Watoto wa viongozi wasome shule za government kuonyesha mfano
 
Wakuu

Serikali haijatatua tatizo!

Tatizo sio malipo ya Ada bali mhitimu atafanya nini Baada ya kumaliza elimu yake!

Je, anaweza KUTUMIA elimu yake kujiajiri!!?kufanya jambo jipya lenye soko nchini!!!?

Mhitimu huyu aliemaliza kidato cha nne au sita Anaweza kujiajiri na kukuza kipato chake KWA KUTUMIA rasilimali zilizopo?

Hata kama serikali ikilipa gharama za uniforms kama elimu inayotolewa HAINA meno HHAINA tu Hata mfanyaje!!!

Bajeti iliyotengwa kulipa ada ingetumika kutengeneza mitaala mipya ya elimu nchini!
Hii ni fikra yakinifu ndio maana hata Nchemba kautambua mchango wa jf katika ujenzi wa taifa kwa sababu ya nyuzi kama hii.
 
Kaka kwanza kabla ya kukosoa jambo lolote unapaswa kwanza kusifia au kushukuru ndipo uanze kukosoa, huo mtaala unaoukandia hivyo shee wangu sio ndio na ww umesomeshewa huohuo mpaka leo umepata akili ya kumudu maisha na familia yako?hebu punguza hisia katika mambo ya kitaifa, tumia rational ethics ,hakuna baya linalokosa faida.Kuwa muwazi utasaidiwa, naomba kujua unateseka ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom