Polepole anabaki kujaribu kumuiga Nyerere muonekano na sauti lakini ukweli ni kwamba hoja zake za utaratibu wa ndani ya chama hazina manufaa yeyote kwa taifa.
Polepole haongelei katiba mpya, utekaji, rushwa, uzembe, uzaji wa bandari na mikataba mibaya badala yake kuongelea taratibu za tamaduni ambazo ndizo zimetuletea umasikini mkubwa kwenye nchi hazina mvuto. Wengi wana support kwasababu hawamtaki Mama Samia lakini huwezi kusema ana