Tatizo ni

iddy eba

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
575
1,169
Kum-wish rafki yako cku ya birthday yake sio tatizo, tatizo ni pale unapomwambia "uishi miaka buku" au "uishi miaka miaka mingi kama no za vocha" as if we ndo mtoa roho alaf ndo umempa ofa ya miaka mengne ya kuishi my dear, em kuwa siriaz kdgo, yan acha kuingilia kaz ya mungu
[HASHTAG]#HappenOnlyInTZ[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom