Ludanha
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 552
- 647
Nilikuwa natumia lumia 625(4G) na sim card ya tigo ya 4G ila kwa sasa nimepata tecno c8 lakini nikiiweka hii laini ya tigo inasoma ila shida ipo kwenye network yakupiga simu ndio shida kila Mara inapotea hasa sifahamu tatizo in simu au in hii sim card niliyonayo? Kwa anayefahamu tafadhali tusaidiane.
NATANGULIZA SHUKRANI

NATANGULIZA SHUKRANI
