Tatizo ni bodi au wizara ya elimu?

Tatizo ni bodi au wizara ya elimu?

Wengi wamepostpone mana hata hiyo second natch haijatoka kwa vyuo vingi mpaka sasa. Vile vilivoonekana vinaweza paza sauti ndio vimepata.
 
mizengweee yoteeeeeee hiyooooo kwenye maaswalaaa ya pesa yanazuiwaaa na baba mwenye nyumbaaa
na ukiona watendajii wanasitaaa ujuee order imetokaaa juu
siumeona hata waziri anavyoendeshwaaa na baba mwenye nyumbaaaaa
 
Kwani waziri wa elimi ndio anatoa hizo fedha?
Mkuregenzi kapewa hizo fedha alafu kakataa kuzitoa au??.....ebu fanya utafiti shida iko wapi kabla ujabebesha watu mizigo ya lawama.
Mkuu ndipo ufahamu wake ulipoishia
 
halafu eti ooh ndalichako,, mara ooh badru....

jaribu kufikiria tumefika wapi na tunaenda wapi, na kura ulimpigia ili watu fulani kwamba wataisoma namba

sasa niambie, umesoma namba ngapi? moja...mbili au ngapi

na bado
 
Wengi wamepostpone mana hata hiyo second natch haijatoka kwa vyuo vingi mpaka sasa. Vile vilivoonekana vinaweza paza sauti ndio vimepata.
Batch imetoka hadi ya sita mkuu sema sasa hayo majina
 
Hakuna kitu kinachokosa vigezo hata kufaulu kuna vigezo vimewekwa ndio maana tunasema mtu fulani amefaulu mitihani, Binafsi niseme tu kwamba hoja sio kufaulu je wamekidhi vigezo vya kupata mikopo?, ni kweli kabisa wakati mwingine bodi ya mikopo wanafanya makosa na unakuta mtu alikuwa na kila kigezo cha kupata mkopo lakini ananyimwa kwa hili wanapaswa kuwajibika. Lakini tusilaumu watu wakikosa mikopo tujiuulize je wana vigezo otherwise tutaishia kulaumu tu bila kujua nini tatizo
 
Hivi kwanini msiwe mnakuwa direct mnasena mkuu mwenyewe ndye ajifukuzishe kazi cozz yeye ndye anatoa hayo maagizo. Tanzania haiendelei kwa sababu ya unafiki wa watanzania.
 
Kumfukuza Waziri wa Elimu, sina hakika sana; lakini kama kweli wako serious na mambo ya mikopo ya wanafunzi, na ili kujenga taasisi mpya yenye ufanisi, kuivunja ile bodi ni jambo lisiloepukika. Kama Bodi hiyo itaendelea kuwepo, serikali haiwezi kukusanya fedha kutoka kwa wanufaika wa mikopo. Nawahakikishia hivyo. As a country, we don't deserve this bureaucratic and corrupt board...
 
Tatizo si bodi wala wizara! Tatizo nadhani liko juu ya wote hao! Na bodi ni mbuzi tu wa kafara!
Yes.. tatizo ni bajeti iliyopo.
Pesa iliyopo ni ya kulipia wanafunzi 25,000++
waliopata udahili ni 58,000++..
Sasa hapo unawezaje kuilaumu bodi... waache USANi.
 
tatizo kubwa nchi hii ni siasa na siasa haiwez ikaiendesha nchi bali nchi huendesha siasa..bodi ya mikopo ilitoea vigezo vyao kabla hata hatujaomba mkopo lakin cha kushangaza wizara nayo ikaja na vigezo vyao hivi kwann hii nchi inakuwa hivi jaman???shame
 
jamn naomba kuuliza hizi second batch mpaka six batch wanatoa kulingan na vyuo au vip kwa maan sis tunasubiria second batch itoke kumbe zishatok mpk tano naya sita hii xx mbona sielew kun vyuo wamepata sec na vingine hakun ata third embu nieleweshen wandugu.
 
habari
najua maneno haya yanaweza kuwakwaza wengi hasa kwa kuzingatia umuhimu wa kipekee ambao heslb ekua nao hasa kwa kuwasaidia watoto wa masikini ambao wasingekua na uwezo wa kupata Elimu ya juu bila heslb.

kwa jinsi hali ilivyo sasa ya utoaji mikopo kwa wanafunzi Wa vyuo vikuu nachelea kusema ni bora kuto kua na bodi ya mikopo ili kila mtu anae maliza form six ajipange kivyake kuipata Elimu hii adhimu. mikopo imekua haitolewi kwa wakati, masharti magumu ya sasa ya utoaji mikopo na kuto kua na uhuakika wa ajira Mara baada ya masomo ni mambo yaliyo nifanya nije na mtazamo huu nikimsihi jpm aifutilie mbali heslb. ni ukweli usio pingika kwamba wanafunzi ambao huomba ufadhiri wa heslb hutegemea ajira rasmi hasa serikalini kwa zaidi ya 90% kuweza kurejesha pesa za mkopo lakini kwa kuzingatia Sera ya sasa ya mh. rais ya ubanaji matumizi in dhahiri ajira sio kipaumbele chake kwani Sikh zote Sera hii huwa si rafiki Wa ajira.

ni wazi kwamba Elimu ya chuo kikuu sio Elimu ya lazima japo ni Elimu muhimu sana, nashauri serikali ianzishe wakala maalumu Wa Ku regulate ada za vyuo vikuu na hata sekondari kama ilivyo ewura ili kuwafanya wanafunzi wasio na uwezo mkubwa kifedha kuweza angalau kumudu kujilipia japo nafahamu kutakua na changamoto pia ktk hili.

ni hayo tu kwa sasa japo ninamengi sana ya kushauri ktk hili
 
plz mode naomba bandiko hili lisimame independently ili watu wachangie kwa uzuri zaidi, asante
 
Back
Top Bottom