Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Tatizo la kubadilishwa vituo na kurejeshwa kwenye madaraka kwa wateuliwa ni kukosekana na kwa makatibu wakuu aina ya akina Segue, Opio na Luanjo au nimteuaji kukosa muda wakukaa na katibu mkuu kiongozi kupanga safu?
Au wanaoteuliwa wanatumia nguvu za giza kuwachanganya wateuaji?
Kwanini kuanzia sasa uteuzi usiambatane na taarifa iliyopelekea kupendekezwa kwa muhusika? Au labda tuendelee kusikiliza sababu za tenguz wakati wa kuapisha? Zina ukweli?
Au wanaoteuliwa wanatumia nguvu za giza kuwachanganya wateuaji?
Kwanini kuanzia sasa uteuzi usiambatane na taarifa iliyopelekea kupendekezwa kwa muhusika? Au labda tuendelee kusikiliza sababu za tenguz wakati wa kuapisha? Zina ukweli?