Tatizo lolote la PC/device

Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Natumia HP herufi ' t' haiandikiki.
 
Mkuu SijakuelewA vizur, but nitajid kuelezea kidogo

Kama ukiweka kwenye flash then inaonyesha shortcut bas labda uja-save vizur, Lakin kama aionekan basi uja-save kabisa so chakufanya save kwenye folder lolote kwenye pc then copy/move kawaida kwenye flash inaweza ikasaidia

Pirate
Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft word

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Asante sana mkuu. Nilijaribu kuunganisha na desktop monitor lakini haikuwaka pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
OK now JARIBU kuangalia ram kama unaweza ukaifungua pc yako, chomoa ram na rudisha au pia jarbu kubadilisha ram nyingne sometimes kama ram zipo mbili jarbu kuweka moja moja yan unajarb moja ikikubal unajarb na nyingne ikikataa inawzekana ikawa Ina shida labda au zote zikiwa zinafanya hivyo bas jarbu kuweka ram nyingne ambazo zinaingiliana na pc yako au nunua tu ila jarbu kabla ya kununua pia

Pirate
 
Habari yako, laptop HP500 notebook speaker haitoi Sauti volume adjustment ipo full . Nikiweka speaker za nje nasikia kama kawaida, je tatizo ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
OK kwa software advice ni hiv

Inawzekana playback device ni headphones so jarbu kubadilisha na uweke system iwe default playback device

Pirate
 
Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft word

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Kwaiyo kwenye flash uion??

Pirate
 
Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft word

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Mkuu, flash yako inaweza kuwa na virus wafichao mafaili, scan flash yako kwa updated antivirus!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very good! Simu yangu ya Android Techno H6, inashindwa kutambuliwa na PC yenye Window 10. Naweza kutatua vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap

Unaweza kudownload driver yake kutokea tecno official page au download drivers updater software yoyote ili iweze kudownload automatically


Hopefully it'll help you out!!

Pirate
 
OK now JARIBU kuangalia ram kama unaweza ukaifungua pc yako, chomoa ram na rudisha au pia jarbu kubadilisha ram nyingne sometimes kama ram zipo mbili jarbu kuweka moja moja yan unajarb moja ikikubal unajarb na nyingne ikikataa inawzekana ikawa Ina shida labda au zote zikiwa zinafanya hivyo bas jarbu kuweka ram nyingne ambazo zinaingiliana na pc yako au nunua tu ila jarbu kabla ya kununua pia

Pirate
Asante sana mkuu. Haya mambo ni ya Ufundi zaidi siyawezi, itabidi nipeleke kwa fundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante, sasa fanya hivi ili kujua pia kama tatizo ni RAM au CPU!

Chomoa RAM zote kisha washa PC yako, ukisikia three continuous beeps ujue tatizo ni RAM ila ukiona kimya, hiyo ni board problem hasa kwenye aidha CPU au viambata vya CPU kwenye board!

Kama unao uwezo wa kutumia digital multimeter, pima njia kadhaa za viambata vya CPU!

Vinginevyo muone mtaalamu zaidi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha tatizo la PC yangu nilikuwa na update Bios,ikafail hvyo tu before mzigo ulikuw Vema saana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda pia JARIBU njia hii mkuu



Update bios uwa na risk kidogo kwa mtu anaeifanya na inabid uwe makin sometimes uwa inaweza ikafanya pc isiwake kabisa, sometimes INSIDE H20 BIOS ni nzur kidogo ku-update,

Sasa cha kufanya hapo jarbu kudownload default firmware bios, katika officially page ya dell au online pia watakupa maelezo jinsi ya kuiweka humo humo so JARIBU kuyafuata maelekezo vizur ili uweze kutokuarbu Zaid mkuu

# # note

Maelezo yote ni vizur kuyajarbu inaweza mojawapo ikafaa

Pirate
Ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom