TATIZO LIKO KWA NANI

TATIZO LIKO KWA NANI

Castle_Lite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
4,493
Reaction score
9,901
Long time sijaonekana huku.
Anyway.
Sikuhiz nimekuwa na addiction ya kuangalia Status za watu whatsapp.
It's amaizing kwa sababu unaweza jua moods na vitu ving kuhusu watu kwa kupitia hivyo.

Kuna watu wa karibu nawajua na kiuhalisia watu weng wanawaona kabisa Kuwa sio Wema/wanafiki/hawana Upendo, Ila kwenye status Zao na wenyewe eti wanadai wao ni Wema na kuna watu wanawaona ni wanafiki/waongo/ nk.


Je Nani ana tatizo?.
 
Kwani we unataka nn kaka? Mbona ka unajishughulisha na tabia za watu wakati tabia yako ya kupekenyuapekenyua mambo ya watu hawajaijua??!!!
 
tatizo liko kwako,,,
kwanini ufananishe status za watu na maisha yao...........
huko ni kujifariji
 
Tatizo ni wewe mwenyewe ambaye umetengeneza tafsiri ya status ya mtu kwamba inatakiwa iendane na maisha ya kawaida ya kila siku ya mtu huyo aliyeweka status yake huku ukilinganisha na tabia zake unazozijua wewe!!
 
Tatizo ni wewe mwenyewe ambaye umetengeneza tafsiri ya status ya mtu kwamba inatakiwa iendane na maisha ya kawaida ya kila siku ya mtu huyo aliyeweka status yake huku ukilinganisha na tabia zake unazozijua wewe!!

Chunguza, status nying zinaendana na moods na Tabia za wahusika
 
Kwani we unataka nn kaka? Mbona ka unajishughulisha na tabia za watu wakati tabia yako ya kupekenyuapekenyua mambo ya watu hawajaijua??!!!


Kuangalia status sio kushughulika na tabia za mtu, hujanielewa
 
Back
Top Bottom