Magufuli sio tatizo kwa wapiga kura, tatizo ni watu wameichoka CCM. CCM inageuka kuwa chama cha watoto wa viongozi wa CCM hata kama watoto hao hawana sifa ya kuwa viongozi. Kwa hali hiyo hakuna mkemeaji wa mwingine maana chama ni mali ya wazazi wao.
tulia unyolewe, maccm yote yanafanana katika kuwaza, hamaki na matusi.Acha upumbavu huo, huna hoja ya msingi, kama muda wote upo kwenye jf kwa kutunga uongo, ni lini hiyo kazi ya uongozi utaifanya tofauti na kuwa mpambe? kwa hiyo wagombea ubunge wote ni watoto viongozi? nani kakuzuia kugombea hizo nafasi.
Acha ujinga wewe chukua penseli na karatasi tuanze kuwahesabu watoto wa viongozi wa ccm ndani ya ccm Tanganyika na zanzibar. Kwani hili ni Taifa la kifalume? mbona Nyerere hakufanya hivyo?Acha upumbavu huo, huna hoja ya msingi, kama muda wote upo kwenye jf kwa kutunga uongo, ni lini hiyo kazi ya uongozi utaifanya tofauti na kuwa mpambe? kwa hiyo wagombea ubunge wote ni watoto viongozi? nani kakuzuia kugombea hizo nafasi.
Ila nadhani watanzani ni wa kupimwa akili, pamoja na matusi, dharau na ujinga ujinga wote wa ccm wao wapo nayo tu. Hii ni aibu na laana.
Ila nadhani watanzani ni wa kupimwa akili, pamoja na matusi, dharau na ujinga ujinga wote wa ccm wao wapo nayo tu. Hii ni aibu na laana.
Nakwambia mkuu. Ndo maana wanawatukana, wanafanya vituko majukwani, kikwete anateua watu mpaka leo, mpaka maswi, kateuliwa tena lakini watanzania wapo tu. Sijui kuna nini mkuu inashangaza mnoKusema ukweli mkuu mpaka hao CCM wenyewe wanawashangaa wafuasi wao.
Kiuhalisia wa mahali nchi ilipofika hivi sasa, ilitakiwa wawepo wenye CCM yao tu kwenye kila kampeni.
Anaongea Konyagi (Pombe),Kikwete, Nape, Mwigulu, na Kinana wao wasikilizaji.
Lakini wapi, watu wanajazana kuwasikiliza.
Wakitoka kwenye kampeni kurudi nyumbani, hawakuti umeme( umekatwa) maji hamna, wanalala kizani na bila ya kuoga.
Asubuhi wanaamka tena, umeme hamna maji hamna wanaunga tena tela kwenda kuwasikiliza waliosababisha hali hiyo.
Aisee!! Viongozi wa CCM lazima watakuwa wanawashangaa sana wafuasi wao.
Ipo haja watanzania kuingizwa kwenye kitabu Cha GUINESS. Hasa wafuasi wa CCM.
Magufuli sio tatizo kwa wapiga kura, tatizo ni watu wameichoka CCM. CCM inageuka kuwa chama cha watoto wa viongozi wa CCM hata kama watoto hao hawana sifa ya kuwa viongozi. Kwa hali hiyo hakuna mkemeaji wa mwingine maana chama ni mali ya wazazi wao.
Ila nadhani watanzani ni wa kupimwa akili, pamoja na matusi, dharau na ujinga ujinga wote wa ccm wao wapo nayo tu. Hii ni aibu na laana.