inawezekana kabisa, wavulana walio karibu zaidi na mama zao au sistas, mama zao wanaweza wakawainfluence hata katika love relationship kwa kuwachagulia wapenzi. kila unayekuwa naye mama au dada anakwambia hakufai. Na wewe mvulana kwa kuwa akili zako zinakuwa kwenye vyupi za dada zako unakubaliana na upuuzi wa dada zako na hasa ikiwa dada zako/mama have had failed relationships/marriages wanakuwa na fikra kuwa mpenzi wako atafaidi/atakufaida na kwa kuwa wanakuown psychologically wanahisi kuwa watakupoteza ukiwa na mpenzi wako.