🤣 mie ni fisherman na fundi viatu, ila mniamini tu mkinikabidhi wagonjwa. No harm done😁😁😁 wewe hatukuamini usije kumuua mgonjwa
😀 nimekosa, nimekosa mimi!
nilichomaanisha ni kwamba pengine daktari wake kaona atafute namna kuelezea kwa lugha rahisi tu, maana vipimo vya damu daktari wake ndo aavijuua. Ni mbinu ya communication.
Mi nipo full mkuu 😄😄, karibu kwenye marumbano.😀 hapa sitii neno.
ngoja nimeze opinions zangu kwa vodka.
Kama ww ni daktari, basi kuna vipindi vya Parasitology, Microbiology ulivi-skip. 😀
Mbona umenyoosha mikono mapema sana 😀😀 nimekosa, nimekosa mimi!
nilichomaanisha ni kwamba pengine daktari wake kaona atafute namna kuelezea kwa lugha rahisi tu, maana vipimo vya damu daktari wake ndo avijua., mie nawe hatujui. Ni mbinu ya communication, hufundishwa kwa madaktari
Ukiona jambo lolote katika mwili wako halina side effects ni vizuri kuachana nalo maana mwili wa binadamu ni kama pasi ya umeme.Natumai hamjambo nina tatizo la damu nyingi mwilini pia damu ni chafu naomba maelekezo nn cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia.
Ahsanteni
Sawaa hivyo viwili umeandika ndiyo nini? elezea kwanza😅MaDaktari wa mchongo kama hao wapo wengi tu huko mitaani 😄😄,
Mwambie mgonjwa ukweli, hilo ndo jambo la msingi sana. Kama ana staphylococcus, Au ana meningoencephilitis mwambie msiogopwe kuulizwa maswali na wagonjwa. 😊😊
Siyo kweli mbona mimi natumia AI lakini sina madini yoyote ya kuhusu AfyaNatumia AI mkuu 😀😀
😀😁, Hapana baki kwenye kazi zako huku utatuulia wagonjwa 😀🤣 mie ni fisherman na fundi viatu, ila mniamini tu mkinikabidhi wagonjwa. No harm done
😀 nimesurrender sabb nmegundua daktari ali-skip classes. So ni ngumu kuelewana nae.Mbona umenyoosha mikono mapema sana 😀
Hivyo ni baadhi ya abnormalities na bakteria wanaopatikana kwenye mwili wa binadam mkuu.Sawaa hivyo viwili umeandika ndiyo nini? elezea kwanza😅
Epuka matapeli mkuu hakuna kitu kama hicho 😊😊.Lakini si nasikiaga kitu kinaitwa mchafuko wa Damu sijui?
Wala sija surrender mkuu, nipo on the Gear,Benzodiazepine na Nyafwili mbona mmenyoosha mikono juu mapema hivii battle lingeendelea tupate maarifa Madaktari
mie ni mvuvi (fisherman) na fundi viatu, I'm no doctor 😀Benzodiazepine na Nyafwili mbona mmenyoosha mikono juu mapema hivii battle lingeendelea tupate maarifa Madaktari
Mkuu,kwa maelezo yake huyu ni kama vile hajaenda kwa daktari labda kama ametuficha vitu vingine. Kama daktari akijua damu yako imechafuliwa tuseme labda ina maambukizi lazima atakutajia dawa. Lakini OP ni kama vile anajua tatizo na hajui dawa kitu ambacho ni cha ajabu. Hata hapo kwenye damu kuwa nyingi hajatutajia amepima amekutwa damu iko ngapi,yeye kasema tu ni nyingi.So, daktari angesemaje? unataka atumie medical jargons kuongea na mteja mgonjwa? 🤔
Mkuu, mtu anayeumwa au kujiskia vibaya kwa namna yoyote haruhusiwi kuchangia damu. Hata huko damu salama akienda atarudishwa. Hata ukiwa tu na uchovu wa kufanya kazi au kusafiri damu salama hawakuruhusu utoe damu,sembuse huyu anayedai ana mchafuko wa damu. Aende kwenye matibabu.Sijui Ulipo
Arusha Kuna Maasai Mmoja Anauza Dawa Za Asili
Ana Juice Ya Kimaasai Inasafisha Damu, Uchovu, Malaria
Damu Nyingi Nenda Katoe Kituo Cha Damu Salama
Aimwage Tu MkuuMkuu, mtu anayeumwa au kujiskia vibaya kwa namna yoyote haruhusiwi kuchangia damu. Hata huko damu salama akienda atarudishwa. Hata ukiwa tu na uchovu wa kufanya kazi au kusafiri damu salama hawakuruhusu utoe damu,sembuse huyu anayedai ana mchafuko wa damu. Aende kwenye matibabu.
😀😀 sawa kabisa nipe Ajira ya kuuza hao samaki😀 nimesurrender sabb nmegundua daktari ali-skip classes. So ni ngumu kuelewana nae.
Wacha mie niendelee na uvuvi (fishing), leo nikatege jodari, vibua, changu, kolekole na tasi.