Kwa hiyo umelipiziwa kisasi sio ?Msumeno umekata pote pote mlinitukana hatimae yametimia
Mizani imekaa level sasaKwa hiyo umelipiziwa kisasi sio ?
Imewanufaishaje Sasa ?Mizani imekaa level sasa
AhahahaWewe una chuki binafsi na Inonga, kisa alimkamia Mayele, ulitaka aachwe afunge halafu uje utukane mabeki wa Simba.
Acha Utoto wewe Utopolo.
Sawa Uto...hata nyie pia mnatusubiri.Ahahaha
Karibu nyumbani Pamba wanukusubiri
Huyo Inonga tarehe 30/04 tunamalizana naeWa kawaida sana Kolo wanataka aonekane wa maana, mwanzoni walijaribu kumbeba kibu kwa mayele ikashindikana
AhhahahSawa Uto...hata nyie pia mnatusubiri.
Kiherere chake kikamponzaalikua ana cheza na jukwaa huyo jamaa ana kiherehere sana
Acha kulia wewe; yule refa wa leo kutoka Seychells alimiliki mpira ule vizuri sana. Kuna wakati wachezaji wenyewe ndio wanataka kuharibu mchezo; kwa mfano pamoja na mchezo mzuri alioonyesha kwa kuzuia mikwaju mingi ikiwemo na penalt moja, kuna wakati Manula alivuruga mchezo kwa kujilaza sana chini kupoteza muda mara kwa mara, na ilipofika dakika za majeruhi akafanya hivyo tena kwa karibu dakika tatu hali iliyosbabisha apewe kadi.Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
akili yako imejaa upuuzi.Nguvu moja imeisha
Hata kama, Leo mmepasuliwa tu nje ndani.. kwenye dakika 90 na kwenye Matuta.. kama unaweza kubisha basi bisha nikuone..Umezunguka weee ila mwisho wa siku tumekuona ulipo jificha kwenye pointi namba 5 .....
Ivi kwann ikicheza Simba inachafua hali ya hewa kwenye vijiwe vya Gahawa huko mliko?
View attachment 2192191
Sihitaji battle naww mkuu.Hata kama, Leo mmepasuliwa tu nje ndani.. kwenye dakika 90 na kwenye Matuta.. kama unaweza kubisha basi bisha nikuone..
Tar 30 tu awapasua tena
.Acha kulia wewe; yule refa wa leo kutoka Seychells alimiliki mpira ule vizuri sana. Kuna wakati wachezaji wenyewe ndio wanataka kuharibu mchezo; kwa mfano pamoja na mchezo mzuri alioonyesha kwa kuzuia mikwaju mingi ikiwemo na penalt moja, kuna wakati Manula alivuruga mchezo kwa kujilaza sana chini kupoteza muda mara kwa mara, na ilipofika dakika za majeruhi akafanya hivyo tena kwa karibu dakika tatu hali iliyosbabisha apewe kadi.
Unabishana na ahoga la somalia?achana naeSihitaji battle naww mkuu.
tafuta wa kubattle nao maana lugha zenu siziwezi vijana.