Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,405
- 1,086
Mbona hukugusia tukio la Sakho kusukumwa dhahiri kwenye boksi na refa hakufanya kitu? Au mwenzetu macho yako yana makengeza?Ukingalia vizuri refa hakua na uhakika ndio maana akaanza kuwasiliana alishindwa nini kwenda kutazama VAR na mbona nme mention matukio mengi tu hapo iweje la Simba liwe big deal?