Tatizo la waamuzi Africa limekosa tiba au ni udhaifu wa CAF

Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
UTOPOLO KENGE SANA MNAWEWESEKA BADO NA KIPIGO KWA ORLANDO PIRATES,UMEZUNGUKA WE KUMBE UNATAFUTA MECHI YA ORLANDO,VP MBONA UMESAHAU PENATI YA MCHONGO YA YANGA YA KUSAWAZISHA DHIDI YA VIJANA WA GEITA
 
Chuki dhidi ya simba ni kubwa sana kwa Tanzania ni kubwa sana bora tutolewe tu watu wapate amani maana vita kila kona mpaka unahisi watu kama kuna deni vile wanaidai simba .
 
Nyie mbumbumbu jamaa kaongea mechi nyingi hapo ila mmekomaa na mechi yenu ya mchongo! Mnaenda kufia kwa madiba na mtakukuja manlilia waamuzi period!
 
Chuki dhidi ya simba ni kubwa sana kwa Tanzania ni kubwa sana bora tutolewe tu watu wapate amani maana vita kila kona mpaka unahisi watu kama kuna deni vile wanaidai simba .
Uchukiwe una nini wewe? una kombe gani ambalo Yanga hajawahi kuchukua?
 
Ngoja nicheke tu ,maana watu wanasumu moyoni.kama jamaa mmoja kasema nipige nikufie.
 
UTOPOLO KENGE SANA MNAWEWESEKA BADO NA KIPIGO KWA ORLANDO PIRATES,UMEZUNGUKA WE KUMBE UNATAFUTA MECHI YA ORLANDO,VP MBONA UMESAHAU PENATI YA MCHONGO YA YANGA YA KUSAWAZISHA DHIDI YA VIJANA WA GEITA
Umepugukiwa busara sijaona sababu ya kunitukana , since huna akili nmeamua kuku ignore baki na ujinga wako
 
Ukingalia vizuri refa hakua na uhakika ndio maana akaanza kuwasiliana alishindwa nini kwenda kutazama VAR na mbona nme mention matukio mengi tu hapo iweje la Simba liwe big deal?
Hakuwa na hakika kwani aliyepiga filimbi ya foul alikuwa operator wa VAR?

Pale alipopiga gilimbi control room wakamuambia ulichokifanya ni sahihi huitaji kuja kuangalia we funika

Ndo mchongo ukaishia hapo
 
Nyie mbumbumbu jamaa kaongea mechi nyingi hapo ila mmekomaa na mechi yenu ya mchongo! Mnaenda kufia kwa madiba na mtakukuja manlilia waamuzi period!
Mbona hajaongelea Penati ya Mchongo ya Yanga dhidi ya Namungo ya mzunguko wa kwanza msimu huu iliyochezwa uwanja wa Mkapa ?
 
Chuki dhidi ya simba ni kubwa sana kwa Tanzania ni kubwa sana bora tutolewe tu watu wapate amani maana vita kila kona mpaka unahisi watu kama kuna deni vile wanaidai simba .
mm binafsi nakuunga mkono . na huu ndo mfano mzuri wa binadamu, hasa watz na roho zetu za chuki. Nafikir watapata amani Sana maana kila kona ni vithread uchwara Vs Simba tu.
 
Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
Vipi Mechi ya Yanga na Namungo ?
Ile penati ilikufurahisha sana hadi hujaitolea mfano hapa ?

We kwanini hukupata penati na Rivers United hadi ukaliaibisha Taifa chumbani kwako. ?
 
wewe jamaa hua una ujinga huwezi jadili kitu bila lugha za matusi , nmetoa mifano mingi sana wewe umeona mechi ya Simba tu ?

Hiyo mifano Yako yote uliyotoa ni geresha tu na kujizungusha lakini point Yako ya Msingi uliyoikusudia ni Hiyo ya Simba v/s Orlando.

Mbona sikuzote hukuja na Uzi wakati hayo matokeo mengine yameshapita miezi kadhaa Bali umesubiri mechi ya Simba na Orlando ndiyo umekuja na Thread?

Yana mwaka huu kazi munayo kama Kila ikicheza Simba ndiyo munajaza Threads.
 
Hiyo mifano Yako yote uliyotoa ni geresha tu na kujizungusha lakini point Yako ya Msingi uliyoikusudia ni Hiyo ya Simba v/s Orlando.

Mbona sikuzote hukuja na Uzi wakati hayo matokeo mengine yameshapita miezi kadhaa Bali umesubiri mechi ya Simba na Orlando ndiyo umekuja na Thread?

Yana mwaka huu kazi munayo kama Kila ikicheza Simba ndiyo munajaza Threads.
Sasa hivi si mnponda mtoa mada subirini tarehe 26 vilio vita tamalaki humu
 
Umezunguka weee ila mwisho wa siku tumekuona ulipo jificha kwenye pointi namba 5 .....

Ivi kwann ikicheza Simba inachafua hali ya hewa kwenye vijiwe vya Gahawa huko mliko?

View attachment 2192191
VAR ilikuja kwasababu hakuna muamuzi duniani anaweza kuona kwa ufasaha matukio yote na kutoa maamuzi sahihi wakati wote

Nenda youtube ka search blanda za waamuzi wa ligi kubwa kabisa duniani zipo kibao tu
Na hata VAR imekuja lakini tatizo la waamuzi bado lipo pale pale epl laliga league one na kote duniani

Wenzetu makosa yapo na wanayachukulia kibinaadamu lakini sisi huku ndio msingi mkuu wa kuhalalisha kushindwa kwetu

Al Ahaly eti baada ya kufungwa majuzi kwenye ligi yao wanalia na marefa wanataka hizi game za mwisho waamuzi watoke nje ya afrika 😂😂😂
 
mm binafsi nakuunga mkono . na huu ndo mfano mzuri wa binadamu, hasa watz na roho zetu za chuki. Nafikir watapata amani Sana maana kila kona ni vithread uchwara Vs Simba tu.
Kweli kabisa bongo ukifanikiwa lazima uchukiwe mechi ya simba na almasiry nakumbuka simba alifanyiwa vitu vya ajabu taifa na wachambuzi uchwara wote walikaa kimya ikaja mechi na plateau United simba ilifanyiwa umafia mpaka azam walikatalowa kuonyesha ile game simba wameamua kukaa kimya hata shutuma zote za manara dhidi ya babra na mo dewji Orlando ni wazuri kwenda mpira lolote zinaweza kutokea ila bora tutoke taifa liwe na amani.
 
Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo?
Mifano ya mechi zilizo leta utata zipo nyingi hapa nita ainisha chache
1. Mechi ya kufuzu world cup kati ya Ghana na South Africa penalty ya utata
2. Finali ya Champions league 2019 kati ya Wydad Casablanca na Esperance de Tunis ( mechi ilivunjika kwa utata waemaamuzi)
3. Mechi ya Tunisia na Mali kwenye mashindano ya AFCON 2022
4. Mechi ya Al Ahl na Raja Casablanca hii ya juzi ajabu ni kwamba referee alienda kuangalia kwenye VAR na inaonyesha wazi mpira uligusa goti sio mkono bado referee akaweka tuta
5. Mechi ya Simba na Orando sikujua kwanini referee hakuenda kujiridhisha kwenye VAR
6. Mechi ya Asec Memosa na USGN kuna penalty ilitowewa mpka unae tazama unaona aibu.
Hizo ni baadhi ya mifano they are too many to mention, swali ambalo najiuliza kwamba CAF ni taasisi dhaifu imeshindwa kuondoa huu uozo kwani hatuoni kama hausaidii lolote ndio maana team zetu zikienda level ya mashindano ambayo fair play ipo tuna kwama mfano klabu bingwa dunia na world cup
Nb. Sijataka kuongelea waamuzi wetu wa TFF hawa wamekisha shindikana
Hujatuwekea mechi ya Yanga na Somalia.
 
Wewe ndiwe huna akili tunabaki kukushangaa

Clear foul unamtaka refa aende kwenye VAR kufanya nini?

Laiti ungekuwa na chembe japo kidogo ya akili ungejua kwa nini refa hakwenda. Ila kwa kuwa huna akili umekuja kuanzisha thread

Utopolo wahead

Kabla ya kuweka tuta refa aliwasiliana na watu wa VAR kwa kitambo kidogo na wakamridhisha kuwa lile ni tuta. Hao Utopolo hawawezi kukubali na hata Simba akishinda mechi ijayo kule Afrika Kusini bado watasema Simba ilihonga. Achana nao hao machizi.
 
Back
Top Bottom