Aiseeeeeee!!!!!!!
Yaani mimi nikipiga chupa ya Konyagi kubwa pamoja na Bia safari mbili tatu hivi nakesha kitu kipo nyuzi 90.
Nikikosa Konyagi natafuta Value nikiweka na safari mambo mukdeeeee.....
huu utafiti kuhusu Ulevi siyo sababu kubwa kwa hao wachaga wa Rombo kukosa kuwashughulikia wake zao. huenda wapo busy kwa biashara ndio maana wanakosa muda na uwezo. Kwani wachaga wengi wanaacha wake zao Moshi na wao wapo mikoa mingine kutafuta pesa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kwa Rombo, tatizo ni kubwa zaidi tulionavyo. Kuna sababu nyingi kwa pande zote yaani wanaume na wanawake. Kwa upande wa wanaume, ni kweli kuwa ulevi unachangia lakini ni kwa nini wanalewa sana? Kuna madai kuwa natirally wanawake wa Rombo ni cold in love. Wanapokuwa vigoli hawagongwi ovyo na wakishaolewa, na baada ya kuzaa, kwao tendo la ndoa sio lazima. Lakini pia Wanawake wa Kirombo ni wababe kwa waume zao na ndo huendesha miji mingi. Pia inadaiwa kuwa Warombo ni wataalamu wa mitishamba