Walishaniwekea mkuu, siku nimejiandaa kwenda kuabort mkopo kwakweli nilijiandaa kishari kabisaa lakini yule dada wa mikopo anakanambia kua tayari wameshaniwekea masaa machache waliyopita na akanionesha pale kweli nikaona mzigo upo
Basi nikaondoka pale kwa furaha zotr na kwenda bar nikupongeza kidogo