Tatizo la tumbo kwa mtoto mchanga wa wiki mbili

hamisi nondo

Senior Member
Aug 21, 2011
192
172
Jaman wanajamvi naomben mnifahamishe dawa nzuri ya tumbo kwa mwanangu, kuna mtu kanishauri nimpe gribwater na kuna mwingine kanishauri nimpe maji tu ya vuguvugu kweny kijiko cha chai.

Tafadhal naomba mnisaidie ipi nzuri maana, huwa anajinyonga nyonga tumbo sana kila anapotaka kupata choo na tumbo linaunguruma sana ila choo anachopata ni kizuri tu sio kibaya
 
Jaman wanajamvi naomben mnifahamishe dawa nzuri ya tumbo kwa mwanangu,,kuna mtu kanishauri nimpe gribwater,,na kuna mwingine kanishauri nimpe maji tu ya vuguvugu kweny kijiko cha chai,,,Tafadhal naomba mnisaidie ipi nzuri maana,,huwa anajinyonga nyonga tumbo sana kila anapotaka kupata choo na tumbo linaunguruma sana ila choo anachopata ni kizuri tu sio kibaya
Pole kwa shida anayopata mtoto.

Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita mdomoni kwa mtoto na kumsababishia Hali hiyo uliyoelezea.

Cha kufanya
1.Achana na wazo la kumpa gripwater,au sijui maji ya uvuguvugu au chochote kile mbali na maziwa ya mama,kwani utazidisha tuu tatizo na sio nzuri kwa afya ya mtoto mchanga ambae anatakiwa apewe maziwa ya mama tuu kwa muda wa miezi sita ya kwanza ya maisha yake.

2. Hakikisha mama wa mtoto anam position vizuri mtoto wakati anamnyonyesha. Position ya mtoto ikiwa vibaya husababisha gesi kuingia mdomoni kwa mtoto wakati ananyonya na kumsababishia gesi. Angalia video ifuatayo ambayo inaonyesha jinsi ya kumshikilia mtoto vizuri wakati wa kunyonyesha.

3.Kila baada ya mtoto kunyonya na kushiba,mama yake amcheulishe mtoto kwa kumbeba na kuegemeza tumbo la mtoto kwenye bega lake (mama), huku akimgusa mgongoni gently,fungua video ifuatayo kuona jinsi ya kumcheulisha mtoto baada ya kunyonya. Hii husaidia mtoto kutoa gesi ambayo inaweza kuwa iliingia wakati wa kunyonya.

4.Mfanyie au muelekeze mama amfanyie mtoto massage ya tumbo ya "I love you tummy massage" pale ambapo utaona mtoto anajinyonga nyonga, hii husaidia kuondoa gesi tumboni, fungua video clip ifuatayo inayoelezea jinsi ya kufanya hiyo massage.


Ukifanya kwa usahihi massage hiyo, kama mtoto alikuwa na gesi tumboni,basis utaona anajamba na ataacha kujinyonga.
hamis nondo
 
Nalichozungumza ni sahihi kabisa..ila maji pia ni muhimu ..mtoto wangu alipata tatizo kama hilo..nilikuwa nikimpa maji kwa ajili ya kulahinisha choo...mwisho tatizo lilikwisha.
 
  • Thanks
Reactions: Atn
Jaman wanajamvi naomben mnifahamishe dawa nzuri ya tumbo kwa mwanangu,,kuna mtu kanishauri nimpe gribwater,,na kuna mwingine kanishauri nimpe maji tu ya vuguvugu kweny kijiko cha chai,,,Tafadhal naomba mnisaidie ipi nzuri maana,,huwa anajinyonga nyonga tumbo sana kila anapotaka kupata choo na tumbo linaunguruma sana ila choo anachopata ni kizuri tu sio kibaya
hilo tatizo la gesi ni common sana kwa watoto...nina dada zangu wawili watoto wao walikua na same problem lakini bi.mkubwa anatumia majani fulani hivi CHITANTELANTE(hii dawa nadhani watu wa mkoa wa kagera wanaijua vyema) anachemsha na nyingine anaoga...hua wanakua poa tu
 
Pole kwa shida anayopata mtoto.
Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita mdomoni kwa mtoto na kumsababishia Hali hiyo uliyoelezea...
Asante Dr. Umewlimisha wengi hapa kwa mada hii.
 
hilo tatizo la gesi ni common sana kwa watoto...nina dada zangu wawili watoto wao walikua na same problem lakini bi.mkubwa anatumia majani fulani hivi CHITANTELANTE(hii dawa nadhani watu wa mkoa wa kagera wanaijua vyema) anachemsha na nyingine anaoga...hua wanakua poa tu
Ushirikina huo!
 
Hapana cyo ushirikina. Za kienyeji bhana.

Ka kwangu kana wiki mbili karibia wiki ya pili nalala kwa timing na mamake.

Na ninajiuliza kwa nn iwe usiku tuu mi mchana kanalala vizuri bt mchana mwee ni hatari kuanzia Saa nne mpka Saa kumi nambili asubhi.
Ila Nashukuru kwa post let me try.

Ndo uzuri wa hii forum kila kitu kipo. Bg up wadau stay blessed
 
Ngoja nii subscribe hu uzi
Pole kwa shida anayopata mtoto.
Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita mdomoni kwa mtoto na kumsababishia Hali hiyo uliyoelezea...
 
Pole kwa shida anayopata mtoto.
Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita mdomoni kwa mtoto na kumsababishia Hali hiyo uliyoelezea...
Dr. Umedadavua uzuri mnoo
 
Pole kwa shida anayopata mtoto.

Tatizo linalomkabili dogo ni gesi iliyozidi tumboni ambayo anaimeza wakati wa kunyonya maziwa, sababu kubwa inayosababisha mtoto ameze gesi nyingi wakati wa kunyonya ni poor positioning ya mtoto wakati wa kunyonya kiasi cha kusababisha gesi nyingi kuweza kupita mdomoni kwa mtoto na kumsababishia Hali hiyo uliyoelezea.

Cha kufanya
1.Achana na wazo la kumpa gripwater,au sijui maji ya uvuguvugu au chochote kile mbali na maziwa ya mama,kwani utazidisha tuu tatizo na sio nzuri kwa afya ya mtoto mchanga ambae anatakiwa apewe maziwa ya mama tuu kwa muda wa miezi sita ya kwanza ya maisha yake.

2. Hakikisha mama wa mtoto anam position vizuri mtoto wakati anamnyonyesha. Position ya mtoto ikiwa vibaya husababisha gesi kuingia mdomoni kwa mtoto wakati ananyonya na kumsababishia gesi. Angalia video ifuatayo ambayo inaonyesha jinsi ya kumshikilia mtoto vizuri wakati wa kunyonyesha.

3.Kila baada ya mtoto kunyonya na kushiba,mama yake amcheulishe mtoto kwa kumbeba na kuegemeza tumbo la mtoto kwenye bega lake (mama), huku akimgusa mgongoni gently,fungua video ifuatayo kuona jinsi ya kumcheulisha mtoto baada ya kunyonya. Hii husaidia mtoto kutoa gesi ambayo inaweza kuwa iliingia wakati wa kunyonya.

4.Mfanyie au muelekeze mama amfanyie mtoto massage ya tumbo ya "I love you tummy massage" pale ambapo utaona mtoto anajinyonga nyonga, hii husaidia kuondoa gesi tumboni, fungua video clip ifuatayo inayoelezea jinsi ya kufanya hiyo massage.


Ukifanya kwa usahihi massage hiyo, kama mtoto alikuwa na gesi tumboni,basis utaona anajamba na ataacha kujinyonga.
hamis nondo
Asante kwa somo
 
Back
Top Bottom