geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,036
- 7,195
Wakuu natumia simu aina ya samsung note9, ilikua inachaji fresh with dk 55 simu imejaa chaji yale ilikua fast charge...ghafla imezngua sasa hivi masaa matatu chaji iko asilimia 40.
tatizo linaweza kuwa nini?
Natanguliza shukrani.
tatizo linaweza kuwa nini?
Natanguliza shukrani.