Shukuru haijazima moja kwa moja ndugu,it is just a matter of time kabla haijazima mazima,huwawei y 625 nlikuwa nayo nliinunua kwenye tigo shop,ilikuwa inaugua magonjwa mbali mbali hatimaye tar 1/1/017,ikafa rasmi,ushauri wa bure iflash then uza haraka hata kwa hasara,uliza wataalamu wa cm watakwambia majanga ya hizo cm..mm yangu ninayo now nauza kama screpar ntafute kama unahitaji betri na kioo chake