kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Sio kituo la kawaida kwa Simba iwe mbele kwa BAO 3-0 uwanja wa Mkapa halafu zote zirudishwe kwenye kipindi kimoja na timu ndogo kabisa kama Galaxy.
Sio kitu Cha kawaida watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania kuwa mtu maarufu kama Haji Manara. Huyu mtu kufika level aliyonayo kwenye nchi kama ya Tanzania sio jambo la mzahamzaha na hivihivi. Lazima Kuna nguvu ya mtu mwenye mamlaka kuu kuliko sisi wanadamu Yuko nyuma yake.
Simba na mashabiki wanavuka Mipaka ya mapungufu ya kibinadamu Haji na kuingilia mambo ambayo yako juu ya Haji, wanakejeli hata uwezo na mamlaka ya Mungu kuhusu maumbile ya Haji, wanakufuru. Wanashindwa hoja na Haji na ku attack ulemavu wake kama njia ya kumnyamazisha Haji.
Kwa kufanya hivyo Simba wanayashika Mungu masharubu yake. Watu wa aina ya Haji ni watu wanaohitaji upendo, kusaidiwa, Kutiwa moyo, na kuheshimiwa sana kwakuwa yeye hawezi kwenda kulima, kuvua, kuponda kokoto, kuchimba madini, nk sisi wengine.
Dua moja ya Haji kwa Mungu wake inasikika na Ina nguvu sana kwasababu anaomba kwa kumaanisha. Hakuna mtu hata mmoja chini ya jua atafanikiwa kwa kuwathihaki, wadhulumu, wabeza na kuwadhulu walemavu na mayatima na wajane.
Sio kitu Cha kawaida watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania kuwa mtu maarufu kama Haji Manara. Huyu mtu kufika level aliyonayo kwenye nchi kama ya Tanzania sio jambo la mzahamzaha na hivihivi. Lazima Kuna nguvu ya mtu mwenye mamlaka kuu kuliko sisi wanadamu Yuko nyuma yake.
Simba na mashabiki wanavuka Mipaka ya mapungufu ya kibinadamu Haji na kuingilia mambo ambayo yako juu ya Haji, wanakejeli hata uwezo na mamlaka ya Mungu kuhusu maumbile ya Haji, wanakufuru. Wanashindwa hoja na Haji na ku attack ulemavu wake kama njia ya kumnyamazisha Haji.
Kwa kufanya hivyo Simba wanayashika Mungu masharubu yake. Watu wa aina ya Haji ni watu wanaohitaji upendo, kusaidiwa, Kutiwa moyo, na kuheshimiwa sana kwakuwa yeye hawezi kwenda kulima, kuvua, kuponda kokoto, kuchimba madini, nk sisi wengine.
Dua moja ya Haji kwa Mungu wake inasikika na Ina nguvu sana kwasababu anaomba kwa kumaanisha. Hakuna mtu hata mmoja chini ya jua atafanikiwa kwa kuwathihaki, wadhulumu, wabeza na kuwadhulu walemavu na mayatima na wajane.