Tatizo la Samsung A30

Tatizo la Samsung A30

lete rimoti

Senior Member
Joined
Aug 24, 2021
Posts
159
Reaction score
202
Wakuu nina Samsung A30 Ina tatizo la Kuvibrate na Kujizima mwenye Uzoefu na Simu Hizi naomba anielekeze, tatizo huenda litakuwa ni nini??
 
Hii shida nimeona inawatokea baadhi ya watumiaji wa hizi Samsung A-series
Jaribu kufanya haya
  • Tafuta memory card au flash au hata laptop uhamishe files zako zote za muhimu kutoka kwenye simu kwenda kwenye hiyo memory card, flash au laptop.
  • Baada ya hapo ipige Factory Reset hiyo simu yako, itaondoa cache data zote zinazofanya simu yako ijizimezime, na zile zinazoaffect perfomance ya battery ya simu yako na kila aina ya caches. Simu yako itarudi kama ilivyokuwa mpya, na mafaili yako kama videos, picha, n.k yatafutika. Lakini utakuwa umesolve issue
  • Baada ya hapo rudisha mafaili yako ya muhimu kutoka kwenye memory card, flash au laptop kurudi kwenye simu yako.
 
Hii shida nimeona inawatokea baadhi ya watumiaji wa hizi Samsung A-series
Jaribu kufanya haya
  • Tafuta memory card au flash au hata laptop uhamishe files zako zote za muhimu kutoka kwenye simu kwenda kwenye hiyo memory card, flash au laptop.
  • Baada ya hapo ipige Factory Reset hiyo simu yako, itaondoa cache data zote zinazofanya simu yako ijizimezime, na zile zinazoaffect perfomance ya battery ya simu yako na kila aina ya caches. Simu yako itarudi kama ilivyokuwa mpya, na mafaili yako kama videos, picha, n.k yatafutika. Lakini utakuwa umesolve issue
  • Baada ya hapo rudisha mafaili yako ya muhimu kutoka kwenye memory card, flash au laptop kurudi kwenye simu yako.
Ahsante Mkuu. Angalau Nimefarijika Nitajaribu Kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom