Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,502
- 86,050
Yes, hawa wangekua Sio form four failures, Laiti wangekua na Vyeti halisi, Laiti wangekua na "akili" kidogo tu tusingepoteza maisha ya ndugu zetu.
Naitisha wito in the future, Police wawe Sio Vijana WA Mtaani, sio Wa kuokoteza na kuwaweka Jeshini. Leo tumempoteza Daniel na Aquilina, kumbuka kuna siku Utakua wewe!! Lazima polisi wawe independent! Tujifunze kua na busara kama Askari wa jirani. Siku Ile Kenya ingekua ndio viaskari vyetu Hivi basi vifo vingekua vingi Sana
Kenya wametuzidi akili saaaana.
Naitisha wito in the future, Police wawe Sio Vijana WA Mtaani, sio Wa kuokoteza na kuwaweka Jeshini. Leo tumempoteza Daniel na Aquilina, kumbuka kuna siku Utakua wewe!! Lazima polisi wawe independent! Tujifunze kua na busara kama Askari wa jirani. Siku Ile Kenya ingekua ndio viaskari vyetu Hivi basi vifo vingekua vingi Sana
Kenya wametuzidi akili saaaana.