Tatizo la Muungano ni Uislam siyo Wazanzibari

Watu wa dini nyingine? Unafahamu kwamba Tanzania sio Christian country, bali ni mchanganyiko wa watu wa dini zote kubwa na wale wanaojikuta na akili nyingi, atheists?

Dini ikizidi sana hugeuka ujinga.
 
HUjui unachokiongea mkuu, Nyerere alimblackmail Karume kwenye suala la muungano. ALitishia kuondoa askari aliompa kumsaidia kujilinda kama akikataa kuungana.
Kumbe sasa kama unajua ni Tanganyika ndio iliikomboa zanzibar sasa mbona unafananisha na Burundi, rwanda na kenya
 
Back
Top Bottom