deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Ahsante mdauGanzi kafanye vipimo hv
1. Moyo
2. Figo
3. HIV
4. Kafanye tambiko.
Ukifanya vipimo hivyo na ukakuta uko sawa kila moja basi hamia kwenye tiba asili.
Matatizo hayo huambatana na nguvu za asili hasa kwa watu wenye matambiko kwao. Kaa na wazazi wako ama watu wenye kujua asili yenu watakusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app