Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,053
Utakufa wewe Mimi utaniacha. FcknAcha ujinga. Yani mie naweza kukaa hapa kupoteza muda kuleta utani kwenye ishu siriaz? Basi kufa na ugonjwa wako. Sikulazmishi kunywa dawa. Nina uhakika na ninachokiongea.
Pia kapime kisukari kama mdau alivyoshauri hapo juu!