Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Mm nilikuwa na hili tatizo hadi nilikuwa siwezi vaa viatu kabisa so nakushauri uende hospital ukaonger na doctor but kama atakuwa anajua atakupa dawa inaitwa NAT B a huge dose mm nilikwenda kairuki nishapona now viatu navaa as usual
Thanks to doctors
Mkuu umepona tatizo la miguu kuwaka moto kwa kutumia hiyo NAT-B tu? Nina tatizo hili la miguu kuwaka moto kwa muda mrefu sana...almost 6 years. Nmekata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada hili inahusu matatizo ya Miguu kuwaka moto na namna ya kukabiliana nayo.

View attachment 367274

Maswali...
Nimekuwa na tatizo la miguu yote miwili kuwaka moto sana, hata kutembea nashindwa kukanyaga chini vizuri.

Nina umri wa miaka 38 na uzito wa 98Kg.Sijaugua ugonjwa mwingine zaidi ya malaria ya kawaida kwa mwaka mara mbili au moja.

Kwa ufupi sina mazoezi yoyote ya viungo nifanyayo.Sasa natembelea fimbo kama mlemavu.

WanaJF, Niangalizieni hili na kama kuna mtaalamu wa viungo humu basi anipe ushauri ni mazoezi gani nifanye kupunguza uzito.






Ushauri, Kinga na Tiba...







Mrejesho/Ushuhuda


Ulitumia dawa gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na tatizo kama lako. Nenda hosptal kapime uric acid.
Ilianza hivyo hvyo magoti kusuguana mwishowe magot yakaanza kuuma pamoja na misuli nimekula NAT B hadi zimeninukia vby. Nilipopimwa URIC ACID nikakutwa nayo imezidi. Nikaanza kutumia dawa ALLOPRINAL uric acid ikashuka na magoti yakaacha kuuma na kusuguana kwa sasa niko poa kbs. Magoti husumbua endapo uzito mkubwa lkn mim nilikuwa na 69kg nikawa nashangaa kwann kumbe uric acid imezidi kiasi, uric acid iliongezeka kwa kula nyama ya ng'ombe mfululizo.
KAPIME URIC ACID.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepima juzi juzi nimekutwa na tatizo hilo hilo la Uric acid natumia dawa hizo hizo ila naona napona taratibu sana maana kila nikitoka mazoezini nasikia kama napata changamoto tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani Mimi shida yangu ni tofauti na miguu, ni miezi miwili sasa ikifika wakati wa usiku jicho langu la upande wa kushoto mwishoni kabisa mwa jicho huwa naona mwanga unajitokeza kama vile mtu kapitisha mwanga wa tochi ghafla unatoweka.

inaweza kunitokea Mara mbili au tatu kwa wakati wa usiku, hii hali inanitesa wenye kujua anisaidie hii ni nini na ninaipuka vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepima juzi juzi nimekutwa na tatizo hilo hilo la Uric acid natumia dawa hizo hizo ila naona napona taratibu sana maana kila nikitoka mazoezini nasikia kama napata changamoto tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo dawa ni long term dawa. Utatumia muda mrefu angalau miezi 3 ila pia kila mwezi ni muhim kupima ili kujua kiasi ya URIC ACID kilichobak. Pia ucfanye mazoezi kiasi ukajiumiza, fanya mazoezi ya kawaida ama fanya leo kesho pumzika utakuwa sawa.

Huo sio ugonjwa wa kupona ndani ya cku chache. Itakuchukua muda mrefu kuwa na subra ndg.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo dawa ili ni long term dawa. Utatumia muda mrefu angalau miezi 3 ila pia kila mwezi ni muhim kupima ili kujua kiasi ya URIC ACID kilichobak. Pia ucfanye mazoezi kiasi ukajiumiza, fanya mazoezi ya kawaida ama fanya leo kesho pumzika utakuwa sawa. Huo sio ugonjwa wa kupona ndani ya cku chache. Itakuchukua muda mrefu kuwa na subra ndg.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ishu ya ganzi nawepata dawa nikapona kabisa? Msaada tafadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom