Emaster037
Member
- Mar 24, 2018
- 24
- 6
Wanna Jukwa La Jamii Forums naombeni msaada sijui nifanye nini juu ya meno yangu kwasababu yanazidi kutoboa na kupuputika na kuisha kabisa linabaki pengo tuu mwenyewe sijui chochote juu ya kuzuia hali hii tafadhali naomba msaada Mp Mpaka saiv meno matatu tayari yameisha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app