Hivi karibuni kumekuwa na hali ya kukera inayotokana na Manchester United kupoteza kwa mfululizo na malalamiko kutoka kwa wachezaji ambayo yamekithiri.
Kiundani sababu ya Manchester United kuwa hivi ni nini? Ni coach? Management? Sera? Wamiliki? Au ushindani wa EPL umekuwa mkubwa?
UPDATES:
Katika msimu huu wa mwaka 2023/24 Manchester United imecheza mechi 10 na kushinda mechi 5 tu na kupoteza mechi 5 zote.
Manchester ipo katika nafasi ya nane kati ya timu 20 zinazoshiriki ligi kuu ya English Premier League (EPL).
english premier league table
Kiundani sababu ya Manchester United kuwa hivi ni nini? Ni coach? Management? Sera? Wamiliki? Au ushindani wa EPL umekuwa mkubwa?
UPDATES:
Katika msimu huu wa mwaka 2023/24 Manchester United imecheza mechi 10 na kushinda mechi 5 tu na kupoteza mechi 5 zote.
Manchester ipo katika nafasi ya nane kati ya timu 20 zinazoshiriki ligi kuu ya English Premier League (EPL).
english premier league table