Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,697
Maelezo yako clear kwani ww unamezaje? Kila siku?Hapa sijakuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako clear kwani ww unamezaje? Kila siku?Hapa sijakuelewa
Yap unakuwa high ,yani unameza ukiwa kitandani aiseeHii si itakuwa inamfanya mtu ajisikie high kama kameza madawa ya kulevya?
Maana Dopamine hormone ndiyo hormone ya starehe
Hivi taratibu za kupima kiwango cha homoni ikoje naomba muongozo mkuu.
Suala la msingi si kushusha tu vichocheo husika bali kutanabaisha chanzo husika pia. Unaweza kutumia dawa zikaweza kushusha hivyo vichocheo lakini baadaye tatizo likarudi palepale, kwa sababu haujatatua chanzo.Habari wa kuu,
Nimepima kipimo cha homoni. Imejulikana nina tatizo la ongezeko la homoni ya Prolactin, ipo 150ng/dl. Naomba msaada jinsi ya kutatua hili tatzo, aina ya diet inayofaa na dawa nzuri kutibu.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sijakuelewa
Isipokuwa pia zinauzwa bei ghali kiasi nazani kumtegemeana na aina na nchi zilikotoka n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu kwa muongozo wako,binafsi nataka nikatizame homoni ya testosterone maana naona kama nina dalili za tatizo kwenye hiyo homoni.Nenda hospitali wambie unahitaji kumuona daktari bingwa anahusika na upimaji wa homoni!
Hata hivyo daktari atakuuliza sababu za kutaka kujua ni zipi au umeamua kupima tu uweze kujua hali yako?!
Mara nyingi kina mama na baba ambao wako ktk harakati za kutaka kushika ujauzito ndiyo huwa wanakutana na kutakiwa kufanya hivyo vipimo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.Habari wa kuu,
Nimepima kipimo cha homoni. Imejulikana nina tatizo la ongezeko la homoni ya Prolactin, ipo 150ng/dl. Naomba msaada jinsi ya kutatua hili tatzo, aina ya diet inayofaa na dawa nzuri kutibu.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.
Hivi vitu havitibiwi kwa diet. Hapo unahitaji kufanya MRI ya ubongo kuangalia pituitary gland kama ina uvimbe uzalishao prolactin bila control (prolactinoma) au la
In the mean time nadhani utakuwa umepewa dawa kama Bromocriptine kupunguza galactorrhea (maziwa kutoka yenyewe)
Sent using .... who cares anyway
Nameza kila siku kimoja
Nameza kila siku kimoja
Kizima ama robo??? Umeambiwa hivi na gyno kweli???Nameza kila siku kimoja
Nimekuelewa, nilienda hospital kupima na nikaandikiwa kumeza kimoja kila siku na matiti yalikuwa yanatoa maji maji kwa sasa hali hiyo inapunguaNisome tena vizuri my dear Cute shy!
Nasema iwapo mtu utafanya vipimo vya homoni ikiwepo hiyo ya maziwa kutoka kwa mwanamke wakati hanyonyeshi na anatafuta ujauzito, basi itakapokutwa hiyo homoni iko juu kuliko kawaida utaandikiwa dawa ukanunue ili kuishisha iweze kurudi kawaida ambapo mwili utatambua kuwa sasa haunyonyeshi na kwa hiyo unaweza kutungisha mimba.
Dawa hizo mara nyingi hunywewa vidonge 2 kwa wiki, unakunywa kimoja mfano kila siku ya Jumatatu ya wiki na Alhamisi ya kila wiki katika mwezi,
Ndiyo maana nikasema utumiaji wake (administration) ni rahisi sababu unakinywa kimoja tu kila baada ya siku mbili tatu ili mradi ndani ya wiki moja uwe umekunywa vidonge 2 tu lakini kwa kupishana siku tatu.
Daktari bila shaka atakushauri baada ya muda fulani baada ya kumaliza dozi ukapime tena kuangalia maendeleo ,
Iwapo baada ya kumaliza dozi ukenda kupima ukakutwa imetengemaa na kurudi kawaida ndipo sasa nikasema inashauriwa uendelee na dozi kwa muda mrefu walau miezi 6 hata kama ipo kawaida ili uweze kupata matokeo chanya ya kile unachokitafuta na hapo utaweza kuwa umepata uponyaji kabisa.
Na iwapo utakuwa umetumia mfululizo wa hivyo halafu baadae ikapanda hapo wataweza kujua pengine kutahijika uchunguzi wa kitu kingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hilo hilo, dawa ni bromocriptine
Ndo hilo hilo, dawa ni bromocriptine