Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,527
- 3,345
Nilitumia bromoProlactin zinakuwa nyingi kipindi cha kujifungua ili mtoto apate chakula chake
Zikiwa nyingi kwenye kipindi cha kawaida ni hatari kwani zinaweza kusababisha utasa,kansa n.k
Dawa ya kutumia ni DA(Dopamine Agonist) kama bromocriptine hivi..hii itaongeza dopamine,..Dopamine ikiwa juu Prolactin inakuwa chini..And vice versa