Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,313
- 46,825
Hili ni jukwaa la JF Doctor..so watakao changia ni either wanaexprience na tatizo au wataalamu wa afyaProlactin ni nini?
Kama ni swala zito la kitabibu kiasi hicho, kiasi kwamba umetuandikia misamiati migumu ili tujue unaugua magonjwa "special" ya kizungu, why don't you go to the hospital and get help?
Wewe umetoka hospital, wakakwambia una hiyo sijui prolactin, halafu unarudi tena kwa watu ngumbaru unatuuliza nifanyeje nina prolactin!
Hukumuuliza huyo daktari kuhusu matibabu ya prolactin?
Hilo neno la prolactin ulilitoa wapi? ulijikuta tu unalijua na ukijikuta tu ghafla unaugua prolactin bila kupimwa na daktari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hukuangalia vizuri ni jukwaa gani huu uzi ulipo postiwa