Buseresere
Member
- Feb 17, 2011
- 45
- 21
acha kuzama chumvini mkuu, pia acha sigara kama unatumia, na pombe, weka utaratibu wa kusafisha kinywa mara kwa mara, hasa kabla ya kulala
acha kuzama chumvini mkuu, pia acha sigara kama unatumia, na pombe, weka utaratibu wa kusafisha kinywa mara kwa mara, hasa kabla ya kulala
Usianze kupoteza mda humu nenda hospital kamuone mtaalam, kumbuk kwa kadri unavozid kusubir ushari humu ndo tatizo linazidi kuongezekaHabarini za kazi,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 31 kwa sasa, ninatatizo linalonisumbua sana hadi nakosa raha kabisa, nilienda pharmacy nikapewa dawa ya kusukutua na nyingine kama mafuta naweka mdomoni inakaa wa mda kama dakika mbili, nili itumia kwa mda lakini tatizo bado liko pale pale, yaani napata shida sana.
Naomba msaada wenu jamani.
Ameambiwa aache kuzama chumvini.Sasa hiyo point ya kabla hata sijamjua mwanamke sijaielewa ina uhusiano gani na kunuka kwako mdomo!
By the way, pole sana! Tumia karafuu
kuna mwana jmf alimwamvia (chumvini)ndio maana akaiweka hiyo sentesSasa hiyo point ya kabla hata sijamjua mwanamke sijaielewa ina uhusiano gani na kunuka kwako mdomo!
By the way, pole sana! Tumia karafuu
Asante mkuu kwa ushauri wako.Kalitoe hilo jino lililochimbika kwanza.
Pengine ndio linasababisha kutoa harufu mbaya.