likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
KUNA DAWA INAITWA DABUR HERBAL, INAMFAA
upo sahihi, na wanapenda kucheka chekaAsilimia Kubwa Ya Watu Wanaonuka Midomo Hawajijui Kama Wananuka Na Mara Nyingi Ni Waongeaji Hatari.
Mwambie huyo Rafiki yako ale kipande cha Tangawizi mbichi kila siku asubuhi na usiku kwa muda wa siku 30 atakuwa amepona huyo kunuka mdomo. chanzo.Herbalist Dr.MziziMkavuNatumai mu wazima wa afya wana jf. Mimi nina rafiki yangu ana tatizo la kunuka kinywa hata na mwili hasa kwa mwili pale anapofanya kazi ndogo tu je ni aina gani ya dawa anapaswa kutumia?
Mkuu inapatikana wapi hii dawa??Kama hutojali huyo rafiki yako akijaribu kutumia hiyo dawa naomba unipatie feedback Mkuu.
Madukani tu, unaweza pia angalia PharmacyMkuu inapatikana wapi hii dawa??
hivi mtu usipoambiwa na mtu mwingine, wewe kama wewe uligunduaje kuwa mdomo unanuka? ile harufu unaweza kuihisi wewe mwenyewe?Saizi nasmile kama kawa jaribu Close Up
Hili swali lako linalenga kupata taarifa gani?hivi mtu usipoambiwa na mtu mwingine, wewe kama wewe uligunduaje kuwa mdomo unanuka? ile harufu unaweza kuihisi wewe mwenyewe?
Nauliza tu nipate kufahamu
taarifa za kama mtu anaweza kuwa na hilo tatizo na asijifahamuHili swali lako linalenga kupata taarifa gani?
Kweli biashara matangazoAtumie splina toothpaste inasaidia kuondoa harufu mbaya mdomoni na kuimarisha fizi na meno
Mwilini atumie sabuni ya splina ni kiboko mcheck 0692948695
Unatumia Vip hiyo bicarbonate of soda msaada kidogoTumia bicarbotane of soda.