muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
Habari wakuu, kama wiki tatu hivi niliugua tumbo la kuhara lililonisumbua kwa siku 4 hivi nilihangaika sana kutumia dawa (kuna moja ni single dozi baadaye nikatumia dose ya flagyl) mpaka kupona. Pia nilitengeneza oral locally nikatumia na ilinisaidia kukata kuendesha ikabaki tatizo la tumbo kukata.
Baada ya kupona kama wiki 2 hivi likaibuka hili suala la kuwashwa nikijikuna ngozi yangu inaumka/ inavimba. Nilifikiri itakuwa allergy ya kitu flani, nikaanza kunywa cetrizin, nikinywa kweli nikiamka kesho siwashwi na wala uvimbe kwenye ngozi unapotea, nikiacha kunywa hali hiyo inajirudia.
Sasa hapa ninawaza kwamba inaweza ikawa tatizo ni nini?
1. Allergies? Ni ya kitu gani?
2. Minyoo?
3. Au ni nini?
Nimeambatanisha picha
Baada ya kupona kama wiki 2 hivi likaibuka hili suala la kuwashwa nikijikuna ngozi yangu inaumka/ inavimba. Nilifikiri itakuwa allergy ya kitu flani, nikaanza kunywa cetrizin, nikinywa kweli nikiamka kesho siwashwi na wala uvimbe kwenye ngozi unapotea, nikiacha kunywa hali hiyo inajirudia.
Sasa hapa ninawaza kwamba inaweza ikawa tatizo ni nini?
1. Allergies? Ni ya kitu gani?
2. Minyoo?
3. Au ni nini?
Nimeambatanisha picha