Tatizo la Kuvimba Miguu: Chanzo, Ushauri, dawa na tahadhari (pamoja na wajawazito)

Kuvimba miguu by itself siyo tatizo lakini inaweza kuashiria uwepo wa tatizo. Kwahiyo, unachotakiwa kufanya iwapo miguu imevimbi wakati wa ujauzito ni kupima pressure, na mkojo kama una protein.Kama hivyo vyote viko sawa na mjamzïto hana tatizo lingine lolote basi anachotakiwa kufayna ni kuwa anainyanyua miguu au iwapo imevimba sana basi kuvaa bandeji.
Daktari wako anaweza kuhitaji uudhurie maranyingi zaidi kwa ajili ya kufanya vipimo kadri atavyoona inafaa.

Tatizo kubwa zaidi linaloambatana na kuvimba miguu ni kifafa cha mimba.

Kuvimba huwa kunasababishwa na kutanuka kwa nafasi kati ya kapilary na kusababisha majimaji yaliyomo ndani ya mishipa ya damu kutoka nje na kuleta uvimbe.
 
Kuvimba miguu by itself siyo tatizo lakini inaweza kuashiria uwepo wa tatizo. Kwahiyo, unachotakiwa kufanya iwapo miguu imevimbi wakati wa ujauzito ni kupima pressure, na mkojo kama una protein.Kama hivyo vyote viko sawa na mjamzïto hana tatizo lingine lolote basi anachotakiwa kufayna ni kuwa anainyanyua miguu au iwapo imevimba sana basi kuvaa bandeji.
Daktari wako anaweza kuhitaji uudhurie maranyingi zaidi kwa ajili ya kufanya vipimo kadri atavyoona inafaa.

Tatizo kubwa zaidi linaloambatana na kuvimba miguu ni kifafa cha mimba.

Kuvimba huwa kunasababishwa na kutanuka kwa nafasi kati ya kapilary na kusababisha majimaji yaliyomo ndani ya mishipa ya damu kutoka nje na kuleta uvimbe.

Mkuu ZeMarcopolo umenena vyema kabisa, hivyo charminglady unatakiwa kwenda kwa dakatari kuona kama kuna tatizo lolote zingatia ushauri huu hapo kwenye RED ni muhimu na usipokwenda unaweza kujikuta unapata tatizo
 
Last edited by a moderator:
Kuvimba miguu hujulikana kama "Edema" hii husababishwa na kujaa kwa damu kwenye "pedias artery" ambapo husababisha fat na plasma yan maji maji yalio beba chembe hai za damu kutoka nje ya mishipa hiyo na kwenda kweny sehemu ya nyama au ngozi huitwayo "interstitial speace" na kujaa! linaweza kusababishwa na "gestation diabet type 4" low blood pressure, au protein dificience. Nivizuri kufika hosptali kwa vipimo bt huwa ni kawaida kwa wajawazito, sana kwenye second trimester na yamwisho!
 
Asanteni kwa ushaur. Kuna dada rafiki yangu ndio ana tatizo hilo, hivyo alikuwa ananiuliza kama ninaelewa kidogo kuhusu hilo.tatizo!!!
 
Shkamooni Wana JF

Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia Afya njema.

Jambo la pili na la msingi ni kuhabarisha umma kuwa tatizo la kuvimba miguu linasababishwa na shinikizo la damu.

Kama kuna sababu nyingine Mahsusi inayofanya miguu kuvimba zitoe hapa.
 
mada yake ni nzuri lakini nahisi hili sio jukwaa lake..nadhan jf doctor watakusaidia kule..hapa kuna watu wana akili mbovu watakujibu vibaya bure
 
Habar yako Doctor! kuna uncle wangu ana tatizo la kuvimba kwa miguu na misuli ya mikono na miguu inakaza. kuna siku zingine miguu haivimbi kabisa lakini siku zingine inavimba. lakin ikivimba hasikii maumivu hata kidogo. tatizo linaweza likawa ni nini?
 
Habar yako Doctor! kuna uncle wangu ana tatizo la kuvimba kwa miguu na misuli ya mikono na miguu inakaza. kuna siku zingine miguu haivimbi kabisa lakini siku zingine inavimba. lakin ikivimba hasikii maumivu hata kidogo. tatizo linaweza likawa ni nini?
Pole sana mwambie huyo mjomba wako akapime figo huenda likawa halifanyi kazi kisha uje hapa unipe Feedback.
 
Naomba msaada kwa aliye na uelewa wa ugonjwa wa kuvimba miguu nina ndugu yangu anasumbuliwa na kuvimba miguu tumezunguka hospital nyingi tunaambiwa hana maambukizi tunapewa dawa tu na hakuna mafanikio yoyote
 
Ata kuwa ana sumbuliwa na magonjwa ya figo kama nephrtc syndrome,au kidney stone ata kidney cancer ambayo husababisha miguu kuvmba mwambie akapme magnjwa ya figo
 
Hapo sawa mkuu nmekbali ushauri wako MCPOLLO ila chaku ongezea ni kwamba 90% yakvmba migu ni hyo nephrtc syndrom ya figo ivyo watakiwa kwnda
Lab ufanywe urinalysis ili ku thbitisha..! Au mwnywe waweza u examne mkojo wako kama una cloud lke colour basi 2na suspect ni huo ugnjwa wa figo . Ambao uvmbsha miguu sana.
 
Habari zenu wapendwa, mimi nina matatizo ya mguu wangu wa kushoto kuvimba kwenye kifundo juu ya kisigino ( ANKLE) nimejaribu kutumia dawa za hospitalini na hata za mitishamba lakini bado sujapata nafuu.

Wakati mwingine unanyweaa,na wakati mwingine unajaa, nahisi maumivu mpaka kwenye goti na kwenye nyonga.

Nilienda Aga Khan nikapewa dawa mara 2 amabazo zinacost laki 180,000 wakidai kuwa cells za maeneo hay ya mguu zimekuwa leakage (worn out).

Nimemaliza dawa natakiwa nifuate zingine, lakini bado hazijanipa tija na doctor amesema nikimaliza nifuate. lakini alishangaa kwanini sijapona kwa ile dose ya kwanza.

Tafadhari wandugu mwenye aidea ya dawa ya haya maumivu (ugonjwa) msaada tafadhari, tatizo ni la muda wa miaka 3 nyuma.

Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu, Mungu awabariki sana.

NIlishapiga X-ray hakuna tatizo, nlishapima vipimo pale Muhimbili kuangalia kama tatizo matende au bacteria wowote au fungas hawakuona chochote.

Nilisha check blood kama kuna tatizo lolote lakini hatukuapta chochote, full blood picture hatukupata dalili za ugonjwa wowote.

Ila tatizo au history ya ugonjwa ulianza kuvimba kwa mguu bila kuumia, kujikwa wala kuteuka.

Akhsante wana jamii, kwa msaada wenu.
=============
Tatizo linalorandana na la juu:

=============
Kwa wajawazito:

Ushauri kwa mhusika juu:
pole sana ndugu yangu ila kama ingewezekana ungeenda kuchek zaid ukapata kujua the main couz and then tungesaidiana ktk kupeana ushauri wa matumizi ya dawa
 
kuna sababu nyingi zinazopelekea kuvimba miguu zikiwemo kuziba kwa mishipa(vains blockage) presha kuwa juu kwa muda mrefu (high blood pressure) uchafuzi wa damu na unato wake kiujumla (blood viscocity) kushindwa kupitisha damu kutokana na kusinyaa kwa mishipa ya miguu (legs vain elasticity) e.t.c . Ni vyema ungemuona doctor akufanyie vipimo
 
Habari zenu wapendwa, mimi nina matatizo ya mguu wangu wa kushoto kuvimba kwenye kifundo juu ya kisigino ( ANKLE) nimejaribu kutumia dawa za hospitalini na hata za mitishamba lakini bado sujapata nafuu.
Tupe mrejesho ilə Tiba ya mrongee imekusaidia
 
Back
Top Bottom