Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Looks like we have finally a stupid person here
Vipi kuhusu wanaoshebedea nyumba ndogo? Ref Uzi wa TB. Mume wa mtu okay; Mke wa mtu why not?
Looks like we have finally a stupid person here
Binafsi napenda sana wake za watu ila naogopa kukamatwa na wenye mali.,
Ninapokuwa na binti ambaye hajaolewa huwa sipati mzuka kabisa!
Nifanyeje?..
Binafsi napenda sana wake za watu ila naogopa kukamatwa na wenye mali.,
Ninapokuwa na binti ambaye hajaolewa huwa sipati mzuka kabisa!
Nifanyeje?..
Binafsi napenda sana wake za watu ila naogopa kukamatwa na wenye mali.,
Ninapokuwa na binti ambaye hajaolewa huwa sipati mzuka kabisa!
Nifanyeje?..
Vipi kuhusu wanaoshebedea nyumba ndogo? Ref Uzi wa TB. Mume wa mtu okay; Mke wa mtu why not?
Binafsi napenda sana wake za watu ila naogopa kukamatwa na wenye mali.,
Ninapokuwa na binti ambaye hajaolewa huwa sipati mzuka kabisa!
Nifanyeje?..
aaah,mke wa mtu akijipendekeza jisevie kwanza nifaida hawana matumizi kama mabinti na isitoshe watakuongezea uchumi.a.k.a wanahonga,kamua mkubwa,mimi kama wewe tu
Kaulizie kuna jamaa lilikuwa bouncer lina vi hiace kigogo drive-in vingine mwananyamala moroco!!alikuwa anaitwa eddie jitu la miraba 4 nyakusa liloshiba,brother men,tozzi lakufa mtu,zungu launga la miaka hiyo!!!sasa fikiria sifa alizokuwa nazo alipewa kfro changuvu na mijbaba na mjeda ana revover jamaa kaacha magari akaenda unyakyusani kaukimbia mji na mauti ikamkuta huko kwakuwa maisha ya kijijini hakuzoea na msongo vyote vikachanganyikana akafa sasa wewe hauna hata jina mjini utafr mpaka uamue kuolewa maana utaona yanini sasa bora ujiunge na mseng kwnye taarabu!!!kila raheri!!
watu wengine wanajitafutia matatizo. Hivi we ukioa halafu mkeo wamlalie utajisikiaje?. Achana na huo mchezo.
onyo:
kula wake za watu, ni hatari kwa maisha yako.
mkea wa mtu ni sumu yo yo yo usijaribu chombeza,utakuja kukojoa dagaa
huna huruma, huna adabu, huna staha, wala utu kwa binadamu wenzako! Yatakupata makubwa na mabaya utafanyiwa, we endelea na mchezo wako huo.
kama hauko tayari kuacha huo mchezo unamwisho mbaya sana na utajuta kuzaliwa wa kiume..mark my words
looks like we have finally a stupid person here
you are possesed kafanyiwe maombi
you are signing your death sentence
inabidi upelekwe kwa mzee wa upako ukaombewe..
subiri ukamatwe:ranger:
Kaulizie kuna jamaa lilikuwa bouncer lina vi hiace kigogo drive-in vingine mwananyamala moroco!!alikuwa anaitwa eddie jitu la miraba 4 nyakusa liloshiba,brother men,tozzi lakufa mtu,zungu launga la miaka hiyo!!!sasa fikiria sifa alizokuwa nazo alipewa kfro changuvu na mijbaba na mjeda ana revover jamaa kaacha magari akaenda unyakyusani kaukimbia mji na mauti ikamkuta huko kwakuwa maisha ya kijijini hakuzoea na msongo vyote vikachanganyikana akafa sasa wewe hauna hata jina mjini utafr mpaka uamue kuolewa maana utaona yanini sasa bora ujiunge na mseng kwnye taarabu!!!kila raheri!!
Ufanyeje!Oa na wewe wako na wenzio wampende.Kila mla cha mwenziwe?????????????????????????????????????
Ufanyeje!Oa na wewe wako na wenzio wampende.Kila mla cha mwenziwe?????????????????????????????????????
Looks like we have finally a stupid person here
Inabidi upelekwe kwa mzee wa upako ukaombewe..
Haya ni masihara.......................
Watu wengine wanajitafutia matatizo. Hivi we ukioa halafu mkeo wamlalie utajisikiaje?. Achana na huo mchezo.
Onyo:
Kula wake za watu, ni hatari kwa maisha yako.