Tatizo la kunuka mdomo(kinywa) husababishwa na nini?

Samahan kwa mwenye thread...naomba niweke tatizo langu hapa wataalam wanisaidie manake ata kufungua uzi wangu siwez (new member)
**********
kwenu wataalam...mimi nasumbuliwa na kuwashwa ngoz..yan nkigusa kitu chochote kile ngoz inawasha sana na kuvimba...baada ya muda hurud katka hali ya kawaida...nmetumia dawa nyingi za hospital and mitishamba ila bado hali ni tete...msaada jaman 😪😪View attachment 1740437
Mzio | Allergy au Mchafuko wa damu. Wahi hospitali.
 
Samahan kwa mwenye thread...naomba niweke tatizo langu hapa wataalam wanisaidie manake ata kufungua uzi wangu siwez (new member)
**********
kwenu wataalam...mimi nasumbuliwa na kuwashwa ngoz..yan nkigusa kitu chochote kile ngoz inawasha sana na kuvimba...baada ya muda hurud katka hali ya kawaida...nmetumia dawa nyingi za hospital and mitishamba ila bado hali ni tete...msaada jaman 😪😪View attachment 1740437
Duh huu ndio mkono unaoutumiaga kuingia humu JF?
 
Mkuu hospital nimeenda zaid ya mara kumi...nimechomwa na sindano mara kadhaa...vidonge nmemeza sana...nmezunguka hospital zaid ya tano...kwa sasa wamenipa centrizen...nameza usiku walau niweze kulala manake vinginevo ntajikuna mpaka asubuh
Mkuu una allergy kuna dawa zipo mwone daktari.



Kua makini ukila chakula gani hio hutokea hlf uache kula kama hutaki kwenda hospitali.
Uu
 
Samahan kwa mwenye thread...naomba niweke tatizo langu hapa wataalam wanisaidie manake ata kufungua uzi wangu siwez (new member)
**********
kwenu wataalam...mimi nasumbuliwa na kuwashwa ngoz..yan nkigusa kitu chochote kile ngoz inawasha sana na kuvimba...baada ya muda hurud katka hali ya kawaida...nmetumia dawa nyingi za hospital and mitishamba ila bado hali ni tete...msaada jaman 😪😪View attachment 1740437
Mkuu njoo PM tuhojiane na kuelekezana tiba AMINI MKUU UTAONDOKANA NA KADHIA HIYO
 
View attachment 1740414

Wadau, heri ya mwezi mpya huu, nina swali ambalo linahitaji msaada wenu.

Kwa nini kuna baadhi ya watu midomo inatoa harufu mbaya!?

Hata Kama akipiga mswaki baada ya muda harufu hiyo hurudi.

Unakuta mtu meno ni meupe na masafi ila mdomo unanuka, shida ni nini?

Na dawa yake ni nini?

Karibuni wadau, shukrani sana.
*******

Ushauri



Pia soma: Ongezeko la watu kunuka mdomo

Leo nimeona kuna tija ya kujulishana tips mbalimbali za kuweka kinywa kiwe safi ili kuepuka harufu mbaya

Kutosafisha kinywa vizuri
Kwa kawaida unatakiwa kusukutua kinywa chako angalau mara mbili kwa siku - asubuhi na usiku kabla ya kulala. Wakati wa kusafisha kinywa, hakikisha umesugua vizuri ulimi. Meno na fizi havina tatizo sana, bali ulimi ndio sehemu kubwa ambapo bakteria wanajijenga. Vilevile, ni ulimi unaosababisha kinywa kunuka. Ni vizuri kama utasafisha vizuri ulimi ili kuondoa harufu.

Ni vizuri kufahamu kuwa mswaki unatakiwa kubadilishwa kila baada ya muda - angalau kila mwezi. Usitumie mswaki kwa muda mrefu, maana hauwezi kusafisha kinywa chako kwa ufasaha kama inavyotakiwa maana wengine wanatumia mswaki kwa mwaka na zaidi. Je utaacha kunuka kinywa?

Kutokula chakula vizuri
Harufu ya kinywa inaashiria kutokula chakula na kinywaji kwa muda mrefu. Kuwa na njaa husababisha mdomo kuwa mkavu. Mara nyingi harufu mbaya ya kinywa hupotea mara tu baada ya kula chakula kizuri na mdomo ukiwa una mate ya kutosha. Acha kutumia vyakula na vinywaji vinavyoongeza harufu kali mdomoni na kukupunguzia maji mwilini – mfano pombe, viungo kama kitunguu maji au kitunguu saumu.

Kinywa kikavu
Bakteria hushamiri kwenye kinywa kikavu. Kama hupendi kunywa maji mengi na kinywa chako kinakuwa kikavu mara nyingi basi jua kuwa kunuka kinywa kwako ni jambo la kawaida.

Jinsi ya kutatua tatizo

Hakikisha mdomo haukauki

Kwa kawaida mdomo mkavu hutoa harufu mbaya. Hii ndio sababu kuwa kinywa chako kinanuka sana asubuhi sababu mdomo wako unatengeneza mate machache sana ukiwa umelala. Mate ni adui wa harufu mbaya mdomoni siyo tu sababu inaondoa bakteria na masalia ya chakula, bali mate yana vimengenyo vinavyoua na kuzuia kuzaliana kwa vijidudu kwenye kinywa. Ili kuzuia kunuka, jaribu kufanya haya

Kunywa maji mengi ili kuondoa masalia ya chakula na bakteriaTafuna bazoka, sababu bazoka inasababisha mdomo kuwa na mate mengi. Kuwa makini katika kuchagua bazoka zisizo na sukari. Sukari ni adui mkubwa wa kinywa chenye afya.

Piga mswaki kabla ya kulala
Kupiga mswaki ni muhimu, lakini wengi tunasahau kuwa mswaki ni lazima kupiga angalau mara mbili kwa siku haswa usiku naasubuhi. Kupiga mswaki asubuhi ni muhimu ili kuondoa uchafu uliojijenga usiku kucha na hivyo harufu mbaya - lakini siku nzima mdomo unatengeneza mate na kuwa laini. Hii ni tofauti na usiku. Usiku mdomo hubaki mkavu na mate kidogo, hivyo kuwa rahisi kwa vijidudu kuzaliana na kuharibu mazingira ya mdomoni kwako. Hivyo, ni afya zaidi kupiga mswaki usiku ili kuzuia kushamiri bakteria waharibifu wanaosababishwa na masalia ya bakteria kwenye kinywa chako. Njia hii itasaidia kuzuia bakteria kuharibu meno na fizi, hivyo kutokuwa na harufu mbaya ya masalia wakati ukiamka.

Kula ndizi au apple
Ndizi au apple husaidia kuondoa harufu mbaya kinywani, lakini ni kwa muda mfupi sana. Ukiwa unahisi mdomo unanuka na unahitaji njia ya haraka, tafuta ndizi au apple, na hapo utakuwa umetatua tatizo kwa muda.

Kula Tango
Maji ya tango yana kemikali zinazozuia kukua kwa bakteria kwenye kinywa. Baada ya mlo mzuri wenye viungo vyenye harufu kali, kata kipande kidogo cha tango, kigandishe kwenye ukuta wa juu wa mdomo wako kwa sekunde 30 huku ukikandamiza na ulimi. Zoezi hili litasaidia kuua bakteria na kuacha kinywa chako kikiwa na afya na harufu nzuri.

Jenga Tabia ya Kupia Mabusu (Kissing)
Ni ukweli kuwa ukifanya kitu chochote kinachosababisha kutoa mate basi unazuia kunuka kinywa. Kissing ni mojawapo ya njia mbadala za kuzuia harufu mbaya mdomoni. Kiss mara nyingi uwezavyo ili kufanya mdomo wako uwe na mate mengi, na hivyo kuzuia kunuka kinywa.

Harufu ikizidi, kamuone daktari
Je harufu yako ya kinywa ni ugonjwa? Basi kamuone daktari. Wakati mwengine harufu ya kinywa hutokana na kuwa na matatizo mwilini na huwezi kuondoa kwa kutumia njia tulizozieleza hapo juu.
Matatizo yako yapo tumboni ukishindwa kupona Hospitali maradhi yako nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia ili uweze kupona maradhi yako Uguwa pole.

DOES MUCUS CAUSE BAD BREATH?
Mucus that stays in the throat and hardens in the tonsils can attract bacteria that contribute to bad breath.
Dairy products, such as milk and cheese, can cause this mucus to thicken and worsen problems with bad breath.
Chronic postnasal drip and related sinus problems can also cause bad breath.


CAUSES OF BAD BREATH.jpg
 
Leo nimeona kuna tija ya kujulishana tips mbalimbali za kuweka kinywa kiwe safi ili kuepuka harufu mbaya

Kutosafisha kinywa vizuri
Kwa kawaida unatakiwa kusukutua kinywa chako angalau mara mbili kwa siku - asubuhi na usiku kabla ya kulala. Wakati wa kusafisha kinywa, hakikisha umesugua vizuri ulimi. Meno na fizi havina tatizo sana, bali ulimi ndio sehemu kubwa ambapo bakteria wanajijenga. Vilevile, ni ulimi unaosababisha kinywa kunuka. Ni vizuri kama utasafisha vizuri ulimi ili kuondoa harufu.

Ni vizuri kufahamu kuwa mswaki unatakiwa kubadilishwa kila baada ya muda - angalau kila mwezi. Usitumie mswaki kwa muda mrefu, maana hauwezi kusafisha kinywa chako kwa ufasaha kama inavyotakiwa maana wengine wanatumia mswaki kwa mwaka na zaidi. Je utaacha kunuka kinywa?

Kutokula chakula vizuri
Harufu ya kinywa inaashiria kutokula chakula na kinywaji kwa muda mrefu. Kuwa na njaa husababisha mdomo kuwa mkavu. Mara nyingi harufu mbaya ya kinywa hupotea mara tu baada ya kula chakula kizuri na mdomo ukiwa una mate ya kutosha. Acha kutumia vyakula na vinywaji vinavyoongeza harufu kali mdomoni na kukupunguzia maji mwilini – mfano pombe, viungo kama kitunguu maji au kitunguu saumu.

Kinywa kikavu
Bakteria hushamiri kwenye kinywa kikavu. Kama hupendi kunywa maji mengi na kinywa chako kinakuwa kikavu mara nyingi basi jua kuwa kunuka kinywa kwako ni jambo la kawaida.

Jinsi ya kutatua tatizo

Hakikisha mdomo haukauki

Kwa kawaida mdomo mkavu hutoa harufu mbaya. Hii ndio sababu kuwa kinywa chako kinanuka sana asubuhi sababu mdomo wako unatengeneza mate machache sana ukiwa umelala. Mate ni adui wa harufu mbaya mdomoni siyo tu sababu inaondoa bakteria na masalia ya chakula, bali mate yana vimengenyo vinavyoua na kuzuia kuzaliana kwa vijidudu kwenye kinywa. Ili kuzuia kunuka, jaribu kufanya haya

Kunywa maji mengi ili kuondoa masalia ya chakula na bakteriaTafuna bazoka, sababu bazoka inasababisha mdomo kuwa na mate mengi. Kuwa makini katika kuchagua bazoka zisizo na sukari. Sukari ni adui mkubwa wa kinywa chenye afya.

Piga mswaki kabla ya kulala
Kupiga mswaki ni muhimu, lakini wengi tunasahau kuwa mswaki ni lazima kupiga angalau mara mbili kwa siku haswa usiku naasubuhi. Kupiga mswaki asubuhi ni muhimu ili kuondoa uchafu uliojijenga usiku kucha na hivyo harufu mbaya - lakini siku nzima mdomo unatengeneza mate na kuwa laini. Hii ni tofauti na usiku. Usiku mdomo hubaki mkavu na mate kidogo, hivyo kuwa rahisi kwa vijidudu kuzaliana na kuharibu mazingira ya mdomoni kwako. Hivyo, ni afya zaidi kupiga mswaki usiku ili kuzuia kushamiri bakteria waharibifu wanaosababishwa na masalia ya bakteria kwenye kinywa chako. Njia hii itasaidia kuzuia bakteria kuharibu meno na fizi, hivyo kutokuwa na harufu mbaya ya masalia wakati ukiamka.

Kula ndizi au apple
Ndizi au apple husaidia kuondoa harufu mbaya kinywani, lakini ni kwa muda mfupi sana. Ukiwa unahisi mdomo unanuka na unahitaji njia ya haraka, tafuta ndizi au apple, na hapo utakuwa umetatua tatizo kwa muda.

Kula Tango
Maji ya tango yana kemikali zinazozuia kukua kwa bakteria kwenye kinywa. Baada ya mlo mzuri wenye viungo vyenye harufu kali, kata kipande kidogo cha tango, kigandishe kwenye ukuta wa juu wa mdomo wako kwa sekunde 30 huku ukikandamiza na ulimi. Zoezi hili litasaidia kuua bakteria na kuacha kinywa chako kikiwa na afya na harufu nzuri.

Jenga Tabia ya Kupia Mabusu (Kissing)
Ni ukweli kuwa ukifanya kitu chochote kinachosababisha kutoa mate basi unazuia kunuka kinywa. Kissing ni mojawapo ya njia mbadala za kuzuia harufu mbaya mdomoni. Kiss mara nyingi uwezavyo ili kufanya mdomo wako uwe na mate mengi, na hivyo kuzuia kunuka kinywa.

Harufu ikizidi, kamuone daktari
Je harufu yako ya kinywa ni ugonjwa? Basi kamuone daktari. Wakati mwengine harufu ya kinywa hutokana na kuwa na matatizo mwilini na huwezi kuondoa kwa kutumia njia tulizozieleza hapo juu.
Matatizo yako yapo tumboni ukishindwa kupona Hospitali maradhi yako nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia ili uweze kupona maradhi yako Uguwa pole.

DOES MUCUS CAUSE BAD BREATH?
Mucus that stays in the throat and hardens in the tonsils can attract bacteria that contribute to bad breath.
Dairy products, such as milk and cheese, can cause this mucus to thicken and worsen problems with bad breath.
Chronic postnasal drip and related sinus problems can also cause bad breath.


View attachment 1743556
ASANTE SANA BOSS
 
Samahan kwa mwenye thread...naomba niweke tatizo langu hapa wataalam wanisaidie manake ata kufungua uzi wangu siwez (new member)
**********
kwenu wataalam...mimi nasumbuliwa na kuwashwa ngoz..yan nkigusa kitu chochote kile ngoz inawasha sana na kuvimba...baada ya muda hurud katka hali ya kawaida...nmetumia dawa nyingi za hospital and mitishamba ila bado hali ni tete...msaada jaman 😪😪View attachment 1740437
Damu yako ni chafu na una matatizo katika ini na figo nione kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako.
 
Back
Top Bottom