Tatizo la kula/kutafuna kucha

Mshana jr, vipi unatoa tiba mkuu, kuna dogo langu yani huwa nampiga mingumi ila hasikii, huyu ni mgonjwa type gani chronic ama?
 
Mshana jr, vipi unatoa tiba mkuu, kuna dogo langu yani huwa nampiga mingumi ila hasikii, huyu ni mgonjwa type gani chronic ama?
Ana umri gani? Uwe unazichovya kwenye mafuta taa ni tiba nzuri pia kwa wenye kucha zinazokatikakatika
 
Et ni sawa na kujichua..haha wee jamaa
Trust me najua hiki ninachokiandika, unadhani watu wanapenda punyeto? Wengine wana familia kabisa lakini ile kitu huja bila taarifa na baada ya kitendo hubaki na fadhaa kubwa na kujiapiza kutorudia tena...haitofautiani sana na kula kucha
 
17 years-old, dogo kamaliza kucha zimebaki nyama tu
Paka mafuta ya taa kila wakati hamu itatoweka lakini pia angalia asije akawa na tatizo kubwa la kisaikolojia hasa kukosa kujiamini na kujistukia, muweke busy pia jitahidi kumchanganya na makundi ya watu wanaofanya vitu vyenye kushughulisha akili
 
Hebu tupate maarifa zaidi kwa msaada wa mtandao
1. Kuna hawa ambao si wala kucha ila hupenda kuzikata chini sana
2. Kuna hawa ambao ndio muktadha wa mada wala kucha
3. Kitunguu saumu kinatajwa kama tiba kwa kupaka kwenye kucha...maajabu ya tiba ya kitunguu saumu yanazidi kuwa mengi
 
japo concept ni kuzuia muwasho na fungus lakini harufu yake huwa kero kwa mtafunaji na kujikuta automatically anaacha
 
Reactions: MC7
Hivi hakuna madhala ya kiafya yanayosababisha kula kucha na kumeza?
 
teh teh wengine wanakula mpaka za miguu nimemkuta mtu ameinama anang'ata za miguu anadai ni tamu halaf duuuh wengine bhana
 
Sijawahi, hata kukata kucha tu sipendi

Kama kweli hujawai kukata ata kucha dadangu ww ni kituko...niliwai zamia kitchen party moja nikakuta wanamfunda dada jinsi ya kujiswafi maeneo yenu.....shart moja awe na kucha fupi...sasa ww mwenzangu sjui.....nimesema ila sio kwa ubaya
 
Kuna rafki angu akijihisi yuko mwenyewe anakula kamasi nishamuona mara nyingi ila nakausha.sijui ni ugonjwa gani huu me nahisi labda ana upungufu wa madini chumvi mwilini au kisaikojia
 
Kama kweli hujawai kukata ata kucha dadangu ww ni kituko...niliwai zamia kitchen party moja nikakuta wanamfunda dada jinsi ya kujiswafi maeneo yenu.....shart moja awe na kucha fupi...sasa ww mwenzangu sjui.....nimesema ila sio kwa ubaya
Hujaelewa nilichoandika....
Sijawahi kula kucha, pia kukata kata kucha huwa sipendi, haya Sema tena hoja yako
 
Kuna rafki angu akijihisi yuko mwenyewe anakula kamasi nishamuona mara nyingi ila nakausha.sijui ni ugonjwa gani huu me nahisi labda ana upungufu wa madini chumvi mwilini au kisaikojia
[emoji15] [emoji30] ni kwenye mlolongo huo huo wa kula kucha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…