Nimepata kitu usiku huu..🙏Hakuna kitu kukonda bila sababu!lzm Kuna sababu ndio maana unakonda,cha Msingi hapo ni Metabolism haiko balance na Catabolism whether is due physical or disease process!
njo chukua na kwanguNimepata kitu usiku huu..🙏
Baada ya mwezi wa kunywa hayo mafuta akiweza kusimamisha mashine hata kwa dakika 1 tu aje nimpe zawadi!kwa hiyo lengo lako unataka kunenepa.
ratiba;
asubuhi kabla hujapata kifungua kinywa, hakikisha unakunywa mafuta ya kupikia(alizeti/ufuta) mililitre 50. fanya zoezi hilo kwa muda wa siku 28, alafu utaleta mrejesho hapa.
Kapime kisukari... Google dalili za kisukari uone kama zinakuhusu.Kama kichwa kilivo wakuu nina miaka 21 najikuta nakonda tu bila sababu yeyote tokea mwaka juzi na nikienda kupima nilipima mpaka Full Blood Picture hakuna kitu jamani mwenye kujua shida itakuwa nini
Natanguliza shukurani.
Sabb inaeza kuwa moja ya hizi:Kama kichwa kilivo wakuu nina miaka 21 najikuta nakonda tu bila sababu yeyote tokea mwaka juzi na nikienda kupima nilipima mpaka Full Blood Picture hakuna kitu jamani mwenye kujua shida itakuwa nini
Natanguliza shukurani.
Kwa urefu huo na kilo zako una BMI ya 23.1 ambayo ni normal kabisa huna upungufu wa lishe jombaa labda kama una complications nyingine zaidi ya kujishtukia kuwa umekonda.Nina miaka 21 urefu ft 5.4 uzito kilo 61