Tatizo la kuhama hama

Tatizo la kuhama hama

chamaclotus

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,146
Reaction score
2,338
salute wakuu
nimekuwa nakutwa na hili tatizo la kupenda kuhama hama. Yaani nikiwa mkoa mmoja lazima nitahama niende mwingine. Kama nimepanga nyumba labda mbagala nitahama niende bunju then makongo. Hata shule ilikuwa lazima nihame shule moja niende nyingine. Hata masomo nilihama toka sayansi nikaenda arts then nikarudi sayansi. nimetafakari nikaona ni tatizo naombeni msaada.
 
salute wakuu
nimekuwa nakutwa na hili tatizo la kupenda kuhama hama. Yaani nikiwa mkoa mmoja lazima nitahama niende mwingine. Kama nimepanga nyumba labda mbagala nitahama niende bunju then makongo. Hata shule ilikuwa lazima nihame shule moja niende nyingine. Hata masomo nilihama toka sayansi nikaenda arts then nikarudi sayansi. nimetafakari nikaona ni tatizo naombeni msaada.
Ukiwa unafanya Faragha unapenda kuhama pia!?
 
Wewe ni mkorofi hivyo mwenye nyumba hapendi watu wnaoringa,wanaokula nyama wakati mwenye nyumba anakula kirumbu,au mke wako ni mbea sana
 
Jaribu kuhamia mwezini inaonekana huku duniani hauna utulivu kabisa.
 
Hata hapo ulipo akili yako imehama. Ubongo uko puani makamasi ndio yako kichwani.
 
Focus!uwe na plan ya maisha yako binafsi pia uwe na nidhamu yako binafsi(uongozi wako binafsi ndani yako)
Lakini kama huna plan ya maisha hutaacha kuhama uta hamahama hivyo hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom