Tatizo la kuchukiwa kazini

Kwa kuongezea umeeleza mengi...asikae vikao vya gossiping...pia usitake watu wamjue sanaa.

Kujipendekeza,ujuaji, kiherehere, masifa, kujimwambafy, kuchelewa, kuharibu kazini, kuwahi Sana kazini, kujituma Sana kazini

Azingatie ulicho mwambia naunga mkono hoja..
 
Umerogwa
 
makazini pakisenge sana jamaa niliemfanyiaga mpango wa kazi nikajua ni mshikaji wangu sana ,baada ya kugundua ninamzidi kwenye masilahi akaungana na wapumbafu fulani ili waning'oe kwenye position .mkipiga story zenu wasenge wanaenda mwambia boss .Boss before alikua ananielewa sana kuna siku nikamessup kidogo wakanimanua kwenye ile dept .Ila Mungu mkubwa riziki ya mtu kama ipo iatabaki kuwepo.Ila yuel chalii msenge sana huwa nikimuona nasema bianadamu ni umbwa
 
Kaka tatizo la kuchukiwa kazini bila sababu za msingi ni wazi kuwa umewazidi kitu
Cha kukushauli hapa ni kimoja wewe jikutr katika ibada za kweli Lia na Mungu wako acha kulia na wanadam uwezi mtegemea Mungu ukawa na mwisho mbaya una madui wengi Wana kuchafulia nyota yako na maisha yako Ili ualibikiwe kimaisha mwombe sanaungu ipo siku utakuja nishukuly mwenyezi Mungu ashindwi na kitu ana uwezo mkubwa sana wa kusambalatisha chuki hizo amini nakuambia piga goti toa sadaka asa katika vitio vya watt yatima saidiaa maskini nakuaidi ao wanao kuchukia watakupenda nyuma yako una maduhi wengi wanao hakikisha anguko lako la kiuchumi na kuona unakata Tama na kubaki kama wao madui zako ndio ao ao wanao kuzunguka na na furaha yao n kuona anguko lako la kiuchumi na umealibikiwa Lia na Mungu wanadam watakutupa lakin Mungu kamwe awezi kukutupa
 
Wewe utakuja kufanikiwa sana na kua mtu Mkubwa.

Maisha yako yanakuhitaji wewe ndio uwe BOSS kwa sababu una nyota kali

Kazin kwako utaendelea kuchukiwa na watu WAVIVU, WAJINGA, WAZEMBE

Muombe sana Mungu kama wee ni MTU wa kusali na umwambie Mama yako awe anakuombea sana

Wewe kama wewe Hauna namna ya kujinasua, ukiangalia hata njia yako ya Maisha Toka unasoma, ulikua unachukiwa, unaonewa wivu n.k


Kwa Ufupi, **** Roho mbaya inayokufatilia Kwa sababu waloitumia hiyo Roho wanajua wee ni MTU wa kufanikiwa.


Watu pekee mnaoendana ni lazima WAE WALE WENYE AKILI, WACHAPA KAZI, WANAOCHUKIA UZEMBE NA UVIVU , WATU WANAOJIAMIN NA WAPENDA HAKI .
 
Kama kazi inakukosesha amani.Piga chini nenda kajiajiri.Hiyo kazi si ya babako!!!
 
Mpe limbwata huyo boss akili imkae sawa
 
Hii ndo style yangu na ukinikuta tunavopiga cheers na liquor visungura na vikonyagi unaweza sema huyu mwingine dish limeyumba kumbe tunatafuta stim kali ya fasta kuendelea kuwaza dili za hela
 
Sababu sio mnafiki. Ukitaka kupendwa at your workplace kuwa mnafikimnafiki hasa kwa seniors wako.
 
Just fanya kazi na acha propaganda za makazini hakuna anaekuchukia bali unapenda kusikiliza maneno na anaekuambi a maneno hayo ni kuwa ameshajua udhaifu wako ndgu. Kama una experience ya kazi nne na hujajua kuwa makazini wale sio ndgu zako na hawakupendi kwa lolote basi umefeli. kwa upande wangu huwa naona watu kazini kama nyau tu na niko pale kufanya kazi na nilipwe zangu nitembee. Almost baada ya miezi 6 kazini wote wakishajua kuwa mm ni mtu wa aina gani basi wote hutaka kuwa marafiki zangu basi nawakataa sichekii na wowote. Kuna limanzi limoja linaanza kuniambia wewe ni muislam gani hatujui kama una familia na hatuoni unachepuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nikajua kumbe ni shetani wa uzinzi ndio unawasumbua washenzi nyie 😁😁😁😁
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…