Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,205
Habari jf doctors
Nina mtoto wangu ana mwaka na miezi 10.
Kinywa chake kinatoa harufu mbaya,najitahidi mno kumfanyia usafi wa kinywa lakini tatizo linakuwa. Bado lipo.
Najisikia vibaya pale wenzake wanapo mwambia mdomo wako unanuka.Naumia kweli.
Nishaurini nifanyaje jamani.
Na hospital ipi ni nzuri ya kinywa.
Nina mtoto wangu ana mwaka na miezi 10.
Kinywa chake kinatoa harufu mbaya,najitahidi mno kumfanyia usafi wa kinywa lakini tatizo linakuwa. Bado lipo.
Najisikia vibaya pale wenzake wanapo mwambia mdomo wako unanuka.Naumia kweli.
Nishaurini nifanyaje jamani.
Na hospital ipi ni nzuri ya kinywa.