Tatizo la huyu mama ni dharau na kiburi cha madaraka

Tatizo la huyu mama ni dharau na kiburi cha madaraka

Its Tesha

Senior Member
Joined
Oct 6, 2025
Posts
168
Reaction score
604
She must GOOOOOOOOO!!!
 
She must GOOOOOOOOO!!!
Kwamba Katiba is nothing, bora vitabu vya dini? Dini ipi sasa? Maana dini zipo nyingi? Pia kuna dini zisizo na vitabu na kuna wasio na dini?
Inawezekana kweli rais asiwe na uelewa na umuhimu wa Katiba k8asi hiki?
Inawezekana kweli rais hatambui kuwa dini zenyeqe hazikai chungu k8moja hadi afikie kusema watu waheshibu vitabu vya dini? Inawezekana kweli rais hajui kwamba kuna watu dini zao hazina vitabu? Inawezekana kweli hawaamini rais hajui kwamba ku a watu wasio amin8 katika dini na Tanzania watu hao kama hawajafika basi wanakaribia 20%?
 
Kichwani Hakuna kitu. She is empty. Hana kitu kabisa. Sikiliza hotuba zake zote.
 
Lakini Iko kitabu ndo kilimpa nafasi hiyo

Nitaendelea kusema mpaka mwisho MABEYO HII LAANA HAITAKUTOKA WEWE NA KIZAZI CHAKO. ona Sasa hapo ulionekana huna maana kabisa na kajitabu kako
 
Na kuna wanajiita wasomi wakapiga makofi meeeengi ,hii nchi raha sana.
Watu weusi bado tunajitutumua kuwa binadamu kamili ,hivyo usishangae hatua zetu za mabadiliko bwashee
 
Hajui hata bila hiyo katiba anayoidharau leo hii asingekuwa Rais, Aliapa kuilinda katiba lakini sasahivi anaona haina maana. Huyu anapaswa arudishwe kizimkazi. Na iwe marufuku mtu mmoja kutoka kwa watu milion 1 kuja kuongoza watu milioni 60.
 
Huyu mpuuzi ndo alikuwa mwenyekiti wa bunge la katiba she must go
 
Back
Top Bottom