Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,368
- 7,548
S Sulayman,
mkuu umeeleza vyema sana ila wanga kwa mgonjwa wa sukari si chakula kimfaacho kabisa mpaka tuwe na uwezo wa kurekebisha kongosho lake liwe na uwezo wake wa awali,
Yote kwa yote ni elimu yako nzuri ni ipongeze na ni wakati wa wote kuishikilia na kuuishi ila tuboreshe yale yalopelea
mkuu umeeleza vyema sana ila wanga kwa mgonjwa wa sukari si chakula kimfaacho kabisa mpaka tuwe na uwezo wa kurekebisha kongosho lake liwe na uwezo wake wa awali,
Yote kwa yote ni elimu yako nzuri ni ipongeze na ni wakati wa wote kuishikilia na kuuishi ila tuboreshe yale yalopelea