Tatizo la Gari yangu kukata kiuno

Tatizo la Gari yangu kukata kiuno

Angalia usije ukapindua magari ya kiume nyuma yako
 
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada
Shock up za mchina zinasabisha hivyo Kama uliwahi kubadilisha karibuni hilo ndilo tatizo au bearing za kwenye hubs zimekufa zicheki zote 4
 
Gari ndogo haiwezi kata centre bolt, hpo tatizo n wheel bearing z tairi y nyuma pia n rim itakua imepinda
 
JF kiboko,yaliyoelezwa hapa na wanajamvi yafanyie kazi haraka na gari itaacha kukata viuno,walau sasa umepata picha ya tatizo la gari yako kati ya matatizo yaliyotajwa na wadau.Vinginevyo ungeenda kichwakichwa kwa mafundi wangekuambia gari yako inaumwa ugonjwa wa kujaa hewa ya oxygen kwenye engine,gharama ungelia,baadae karibu tena utoe feedback,hapa hata ukiwa na tatizo la ndege yako ya airbus wadau watadadavua kiuongo na kweli tu.
 
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada

Gari ni kama mwili wa binadamu, acha kupiga ramli, NENDA GARAGE YA MAANA LIKATIBIWE!
 
Back
Top Bottom