Tatizo la Gari yangu kukata kiuno

Tatizo la Gari yangu kukata kiuno

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
606
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada
 
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada

Inakataje kiuno? Kama Twangapepeta au Ngwasuma au Diamond?
 
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada

Ni gari aina gani mkuu???!!!!!
Mbona ni kama tatizo la nyuma ingawa fundi wako kaanzia nyuma!!!!
Pande.zote au upande mmoja???!!
 
Inakataje kiuno? Kama Twangapepeta au Ngwasuma au Diamond?

animated_car_volkswagon-bug-walking.gif
cars5.gif


cc: omunga
 
Asprin njoo huku, kuna gari inakata kiuno!
 
Last edited by a moderator:
Ni gari aina gani mkuu???!!!!!
Mbona ni kama tatizo la nyuma ingawa fundi wako kaanzia nyuma!!!!
Pande.zote au upande mmoja???!!

Ni grande mark 11,110 gx, ni upande wa dereva ndo sana
 
mkuu kagua ringi kwa umakini inawezekana kuna ambayo imepinda. kama imepinda hata ukibadili tairi bado tatizo hubaki
 
kitu kama gx 110 zinatatizo hlo esp spid ikifik 80 gar inaanza kutetemeka, kuna fund mja alinisaidia baada ya kuzunguka sna, bt pia check wheel balance
 
Bandugu gari yangu inayumba yumba au kukata kiuno.nimeipeleka kwa fundi amecheki rake hand, bush, rubber halijapona. Siku ya pili nimeipeleka kwa fundi mwingine akasema tairi itakuwa na uvimbe ndani.leo nimenunua tairi nyingine tatizo bado.naombeni msaada

wakati inayumba steering nayo inayumba??
 
Ni grande mark 11,110 gx, ni upande wa dereva ndo sana

Kama hata kwenye lami inafanya hivyo nenda kwenye mashine itolewe hiyo tairi na ifungwe kwa mashine ya alignemt/balancing ikizungushwa tu hata kwa macho mawimbi yataonekana kama ni rim unabadili tu hiyo mchezo kwisha!!!!!?????

Kimtaani toa hiyo tyre funga spare then endesha majibu yatajulikana kama ni rim au la!!!!!!
 
kitu kama gx 110 zinatatizo hlo esp spid ikifik 80 gar inaanza kutetemeka, kuna fund mja alinisaidia baada ya kuzunguka sna, bt pia check wheel balance

Mkuu mtetemeko wa stearing unaohusiana na speed sio default ya hiyo brand ya gari!!!!!
Peleka gari kwa alignment/ballancing usahau huo mtikisiko!!!!!!

Kama mpunga upo kagua chini kote kama ni bushes,ball joints,wishbones na mengineyo then malizia na hayo ya hapo juu mbona utakuwa hata unafungua kinywaji gari haihami wala kutikisika tena kwa hiyo yako ndio kabisaaaa!!!!
 
kitu kama gx 110 zinatatizo hlo esp spid ikifik 80 gar inaanza kutetemeka, kuna fund mja alinisaidia baada ya kuzunguka sna, bt pia check wheel balance

Check rim zaweza kuwa zimepinda. Fanya wheel alignment na balance pia waweza jua tatizo, nilishapata tatizo km hilo na nilipofanya haya tatizo likawa ni rim
 
mkuu kagua ringi kwa umakini inawezekana kuna ambayo imepinda. kama imepinda hata ukibadili tairi bado tatizo hubaki
Ringi au rim? Ringi ziko ndani ya injini, rim ni ile inayoshika tairi
 
Cheki wheel balance nlikua na shida hiyo kwa gari hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom