Habarini wapendwa.
Natumia Samsung Galaxy s5 original yenye warranty ya two year's niliinunulia pale posta makao makuu ya Samsung J M Mall
Sasa tangu jana simu inastuck mara kwa mara.. mfano nikifungua Gallery au INSTAGRAM AU WHATSAPP YAAN APP YOYOTE ILE inajifungua taratibu mno tofaut na mwanzo then inaweka black screen.
Halafu inaandika GALLERY HAS STOPPED DO U WANT TO WAIT OR TO REPORT? Then ukibonyeza wait itakaa mpaka dakika mbili ndo ifunguke au iweke black screen then ijizime kabisa
Na mda mwingine haijizimi lakn inastuck na kuwa black screen hapo ata ufanyeje haikupi notification yoyote kama imejizima au la nikaicha badae nikapata wazo la kuifungua kutoa battery na kuliweka tena ndo ikawaka
sasa kila napogusa app yoyote ile tangu jana inakua ivo ivo je nifanyeje? nini tatizo jaman? Au niirudishe pale pale?? Na je nikiirudisha watanipa nyengine au?
Nipeni mawazo tafadhali.
Natumia Samsung Galaxy s5 original yenye warranty ya two year's niliinunulia pale posta makao makuu ya Samsung J M Mall
Sasa tangu jana simu inastuck mara kwa mara.. mfano nikifungua Gallery au INSTAGRAM AU WHATSAPP YAAN APP YOYOTE ILE inajifungua taratibu mno tofaut na mwanzo then inaweka black screen.
Halafu inaandika GALLERY HAS STOPPED DO U WANT TO WAIT OR TO REPORT? Then ukibonyeza wait itakaa mpaka dakika mbili ndo ifunguke au iweke black screen then ijizime kabisa
Na mda mwingine haijizimi lakn inastuck na kuwa black screen hapo ata ufanyeje haikupi notification yoyote kama imejizima au la nikaicha badae nikapata wazo la kuifungua kutoa battery na kuliweka tena ndo ikawaka
sasa kila napogusa app yoyote ile tangu jana inakua ivo ivo je nifanyeje? nini tatizo jaman? Au niirudishe pale pale?? Na je nikiirudisha watanipa nyengine au?
Nipeni mawazo tafadhali.