Tatizo la chakula shule Kongwe nchini Tanzania

Tatizo la chakula shule Kongwe nchini Tanzania

lobikoki loti

Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
69
Reaction score
27
Wanajf,hasa wale wenye ukaribu na mzee wa kaya,Hawa Ghasia au Kawambwa muambieni hii.Tangu mwezi July mwaka jana tunaambiwa serikali haina hela za chakula mpaka leo hii chakula ni cha shida.

Kwa mfano wanafunzi wa Milambo high school Tabora mkuu wametakiwa kuwa na nauli tayari kwani kuna uwezekano wa shule kufungwa kwa miezi mitatu mpaka July kwani hela za chakula hakuna.

Hebu fikiria Kassim Majaliwa alitembelea Milambo wiki chache zilizopita na ikatangazwa ameleta mahela leo hii wahusika wanadai ilikuwa hela ya kula "only one week".

Jamani mtusaidie kuikumbusha serikali sikivu ya chama cha mapinduzi wamesahau shule zetu na walipopita wao pia.

Kwako mheshimiwa Rais.
 
Wanajf,hasa wale wenye ukaribu na mzee wa kaya,Hawa Ghasia au Kawambwa muambieni hii.Tangu mwezi July mwaka jana tunaambiwa serikali haina hela za chakula mpaka leo hii chakula ni cha shida.

Kwa mfano wanafunzi wa Milambo high school Tabora mkuu wametakiwa kuwa na nauli tayari kwani kuna uwezekano wa shule kufungwa kwa miezi mitatu mpaka July kwani hela za chakula hakuna.

Hebu fikiria Kassim Majaliwa alitembelea Milambo wiki chache zilizopita na ikatangazwa ameleta mahela leo hii wahusika wanadai ilikuwa hela ya kula "only one week".

Jamani mtusaidie kuikumbusha serikali sikivu ya chama cha mapinduzi wamesahau shule zetu na walipopita wao pia.

Kwako mheshimiwa Rais.

Poleni ndugu zangu.
Shule ya Mirambo Na shule zinazo fanana Na hiyo, Ni shule ambazo zinamilikiwa Na serikali kuu.
Tatizo la chakula linaweza likawepo ila Nina haya ya kuzungumzia.

1. Inawezekana serikali haijamlipa mzabuni kwa mda mrefu Sana hivyo kupelekea yeye kuanza kususia kutoa huduma.

2. Inaweza ikawa Ni propaganda inayopikwa Na utawala wenu Ili msilete fujo hapo shuleni, anawaaminisha pesa hakuna huku anafanya ufisadi wake, nimesema hivi kwa sababu, wakati ninasoma Kuna mkuu wa shule alituaminisha Kama ninyi mnavyo aminishwa, ila baadae tulivyofuatilia, ikagundulika alikuwa Na yake binafsi aliyokuwa anayafanya. ( mpaka Leo ninamuheshimu Mwantumu Mahiza, maana alitusaidia Sana)

Make necessary move vijana.
 
Wako busy na mahakama ya kadhi!! subirini
 
Back
Top Bottom