RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,296
- 6,518
Kwa mafundi ukienda tv na sub woofer brand za mchina n nying munooo.... ALWAYS CHEAP IS MORE EXPENSIVE
Wakti kuna Tv chogo za miaka ya Tisini mpaka sasa zinafanya kaziFlat tvs ukikaa nayo miaka 10 uza mwingine akatumie mingine mi5 zaidi ya hapo ni wewe na fundi
Naonaga hata zinazokufa kioo mafundi huwa wanazinunua kwa ajili ya kupata spareKwa mafundi ukienda tv na sub woofer brand za mchina n nying munooo.... ALWAYS CHEAP IS MORE EXPENSIVE
Smart TV za mchina ni pasua kichwa bora ujibane bane unnue mkorea hapo utatuliaKumbe ni tatito la smart Tv, nilijaribu kuperuzi mitandaoni kuna sababu kadha za kutokea sijui na mambo ya umeme yakiwepo, ipo kwenye guarantee nimeirudisha
Sijalijuaga hiliSmart TV za mchina ni pasua kichwa bora ujibane bane unnue mkorea hapo utatulia
Nabukinnua hakikisha upande wa smart unafanya kazi vzr kuanzia WiFi na mirror castSijalijuaga hili
mkuu ni mpya ipo kwenye guaranteeUshauri wangu nunua tv nyingine. Hizi flat screen zikianza hivyo utapoteza hela kwa mfundi. Ina maanisha imefika mwisho.
Huko kwenye Wifi bado sijatumia, sijui ufanyaji kazi wakeUshauri wangu nunua tv nyingine. Hizi flat screen zikianza hivyo utapoteza hela kwa mfundi. Ina maanisha imefika mwisho.
Basi rudisha ili wakupe nyingine au wakutengenezee. Ukishaifungua tu warrant inakufa.mkuu ni mpya ipo kwenye guarantee
Sahihi kabisa nimefanya hivyoBasi rudisha ili wakupe nyingine au wakutengenezee. Ukishaifungua tu warrant inakufa.
Hizi smart TV Zina built in apps kama YouTube, Netflix etc ambazo ili uzitumie lazima u connect na internet ya simu sema bongo bando mtihaniHuko kwenye Wifi bado sijatumia, sijui ufanyaji kazi wake
Nilitumia 40,000 wakaweka mikanda mipya, ila iikazingua tena. Nimetumia 2yrs.Gharama zake ni Tsh ngapi
Kuna mdau anasema Tv za kikorea ni nzuri kuliko za kichinaNilitumia 40,000 wakaweka mikanda mipya, ila iikazingua tena. Nimetumia 2yrs.
Nimeamua kuachana nayo, nimenunua ingine...hii ikizingua tena asee nitapumzika kukaa na Tv kwa muda, au nitarudisha chogo langu, nililinunua tng 2012 mpk leo linadunda tu!
Ngoja tusubiri wataalamu wajeWakuu yangu ni LG imepoteza ile qualit ya mwanzo yani tv ilikua ukiangalia movies au chochote kile kioo kilikua kinang'aa ila saiv imefifia tatzo hapo linaweza kua nn
Msaada
Zoezi la kwanza badilisha cable ya HDMI ondoa hzo za zamaniWakuu yangu ni LG imepoteza ile qualit ya mwanzo yani tv ilikua ukiangalia movies au chochote kile kioo kilikua kinang'aa ila saiv imefifia tatzo hapo linaweza kua nn
Msaada
Ni kweli sema made in Korea bei zake sio za walalahoiKuna mdau anasema Tv za kikorea ni nzuri kuliko za kichina