Tatizo kwenye HTC desire 400 naomba msaada

Tatizo kwenye HTC desire 400 naomba msaada

dedam

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
845
Reaction score
166
Hii cm cjui ina tatizo gani kuna muda inapata joto sana au inashake maandishi mpaka utoe betri na uwashw ndio inawaka tena shida onaweza chilua hata dakika 30 .tatizo nini wataalam naomba msaada wenu mpaka nafikiria kuitupa
 
Mi natumia siku zote wala haina hizo anomalies.
 
inawezekana kuna app in bugs au kuna kitu kinafanya kazi chini kwa chini hivyo kinafanya processor itumike 100%.

nenda setting angalia simu yako kama ina developer mode
 
inawezekana kuna app in bugs au kuna kitu kinafanya kazi chini kwa chini hivyo kinafanya processor itumike 100%.

nenda setting angalia simu yako kama ina developer mode

mkuu Chifumkwawa Hz HTC kupata joto ni kawaida mm nimetumia zaidi ya 4 but unapowasha data wif nk.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Chifumkwawa Hz HTC kupata joto ni kawaida mm nimetumia zaidi ya 4 but unapowasha data wif nk.

simu haiwezi pata joto mpaka iwe inatumika, simu ikiwa huitumii sana inapata joto hilo sio jambo la kawaida kunakuwa na kitu chini kwa chini kinaendelea. simu ikiwa na developer mode unaweza ukalimit background application zisifanye kazi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom